Gerry1
Member
- Nov 25, 2015
- 58
- 24
Upo sahihi 100% mkuu maana kuna manzi za dar kwa sasa zimefika 3 ya kwanza ilipokuja tukacheza show mbili ikaachana na mchizi wake wa dar ila kwa sababu ambazo sikuzifaham na ya pili tukacheza show moja ilikuwa kwenye mausiano na msela ikamvua na ya tatu ina mwezi yangu imefika nimecheza show 2 imeachana na mwana, Sasa nimeanza kuupata ukweli mkuu mwanzoni nliisi washkaji ndo wanazingua kumbe labda ni low game quality.Joto hupunguza nguvu za kiume, angalia tatizo hili lipo sana ktk nchi za sahara na zenye joto kali mfano dubai na Oman hasa Oman naweza sema robo wanatatizo hili akili yangu inanituma hivyo, pia kwa wanaume wa Dar sijui wana shida gani, dar lazma guvu ztapungua tuu KWANZA KUKAA MUDA MREFU KTK FOLENI HUKU UKIWA UMESIMAMA IWE MWENDO KASI AU DALADALA HUKU DUME LENZAKO LIMEKUSIMAMIA KWA NYUMA LINAKUPUMULIA KISOGONI,tabia hii ikiendelea kila siku unajikuta unazoea kupanda mwendo kasi ili uguswe na zipu za wenzio, Urijali hauji kwa kutafuna mihogo njiani huku ukifika kwako unaenda kula chips yai na pepsi ya baridi ama unanudi nyumbani umebeba ki broiler chako unapelekea familia,
Kuleni mbegu za maboga, kuleni maboga, tafuneni vitungunguu maji, tumieni matikiti, kunyweni juice za ndizi na maziwa, mihogo ya kuchemsha asali, chocolate kabla ya, kahawa ya buni, mamung'unya, magimbi viazi vitamu, lakini ninyi wazee wa wali na mchuzi wa mafuta, angalieni ndugu zetu wapemba mchuzi maji na samaki na nyanya mbili kamaliza, akipigilia na urojo wake hapo, sasa mwauzarau urojo bila kujua mla ulojo na mla broiler wako tofauti sana
Endeleeni kutupa promotion wa mikoani maana ukiona mkeo safari za mikoani haziishi na akirudi atabasamu tuu ujue huko aendako anakutana na wanaume...shenz kbsa.....unakula nazi, karanga za mia mbili, njiani wakati vitu hizi watakiwa ule nyumbani inatakiwa ukimwaga mzigo ujaze kikombe cha kahawa na muda wowote uwe tayari kwa game.......Wavulana wa Dar.....unaingia na manzi alafu wewe ndio unaskika unagumia huku nje badala ya manzi wewe ndio unaonekana kama unabanduliwa huko ndani.......mnapotea kwa kukosa maarifa