Jamani uyo ni vuvuzela ajiulize kwanza wakati Wa ufisadi ulipoanza lowasa alijiuzulu uwaziri mkuu baadae Kamati kuu ya cc ikakaa wakaamua wavue gamba wote waliousika akiwemo rostam ,chenge na lowasa wakimaanisha wajiuzulu nafasi zao zote ukiwa na ubunge rostam akaachia wengine ikashindikana...
Aijalishi kwani ndo wamemzuia kwa harakati iyo mikutano hatujui tunanufaika nayo vipi.Kwanza likizo ya Kamanda lema Ina maana sana katika mageuzi ya kidemokrasia tumuombee afya njema na maisha marefu.Kwani bado tunamuitaji awe kiongozi wetu na Kama lema alisababisha mikutano isifanyike basi lema...
Sikilizeni jamani uozo Wa mahanga unajulikana na hao wasimamizi walitangazaje matokeo kabla ya vituo vyote kuwasilisha kura zote inamana walishaona mahanga kapigwa na M .Zoe sasa Kama kweli hakimu ameona mkurugenzi na msimamizi wanatakiwa kukupa garama za kesi basi uchaguzi huo haukuwa Wa haki...
Bora apumzike kwani keshapoteza mvuto utendaji wake sio mbaya lakini nashauri kabla hajaachia ngazi CAG imkague kwanza aiwezekani matrilion zote izo ziliwe alafu wizara yake isifahamu never Brother UTOH kamata mwizi Men.
Bora apumzike Hana mvuto Tena lema alimkosakosa bungeni kwani Hana maamuzi kwa sababu ya upole wake pumzika baba .
20:
..Kuna uvumi umeenezwa kuwa Waziri Mkuu ameomba kupumzika asiwemo katika Baraza jipya (linalosukwa upya). Inadaiwa kuwa Mzee Pinda amesisitiza kuwa asifikiriwe kuendelea...
Wewe nadhani unayako miaka amsini ya uhuni magamba wameaidi mangapi.Kwanini wao wasitimize walio aidi mwenyekiti Wa Ccm ametoa ahadi zaidi ya sabini na Saba Leo ziko wapi serekali imekuwa ya mafisadi ivi wewe aikuumi wadogo zako wanatembea peku kwenda shule mi nadhani wewe kwenu mboga Saba ugali...
Huyu jamaa naisi katumwa sasa msichangie hoja yake mtampa mailej sana wakati hastaili asiejua maana msimwambie kwanza namshangaa sana hii Nchi si ya Ccm ni ya watanzania wote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.