Saint Ivuga bado siamini kama anaweza kurudi barazani mpaka sasa, na ikitokea hivyo ndiyo nitapoteza kabisa imani na serikali yangu.
Kwan Baraza kuu limekubali Jakaya ndo Rais? Maana kama mnalalamika Bin Mrisho nae aliiba kura iweje mpeleke malalamiko ya mwizi wa kura za ubunge kwa mwizi wa Kura za Urais?
Jamani kesi imeisha na mshindi ni mahanga msipoteze muda kujadili majungu.....anyway ushauri utasikilizwa lakini maamuzi ni yake mwenyewe kwA mujibu wa katiba ya JMT