juu kwa juu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 260
- 38
kiujumla kijana hafai kuwa waziri ,kwa kumwangalia tu, anaonekna ni fisadi mamilioni aliochukua kule barriki ameshindwa kueleza umma, pia ameshindwa kumshauri rais katika mika aliokaa ikulu kama mwandishi na mshauri wa hotuba. So kwa upande wa uwaziri baaado sana, hana focus ,hqana cv ya kumfanya awe kiongozi wa kitaifa zaidi y aubunge wa kupewa na babaye. Kwa kwli asingekuwa babaye ubunge angeusikia kwenye radio tu. Kwa hiyo kweli akichaguliwa waziri itakuwa afadhali baraza hili. Naomba sana chone mnaomshauri mkuu pale magogoni mmshauri asije akampa cheo huyu kibaraka wa mafisadi. A boy is so ambitious , very power monger and rud. Samahani kw languege lakini ni hasira za kutomtakahuyu kijana, kwa vile hana uwezo zaidi ya kuwa penda tu vyeo. Naungana na wasamariana wapenda nchi kuwa asipewe wapwew wengine wenye uwezo mbona wapo , wapo wengi tu. Ahnsante