January Makamba atoswa uwaziri

kiujumla kijana hafai kuwa waziri ,kwa kumwangalia tu, anaonekna ni fisadi mamilioni aliochukua kule barriki ameshindwa kueleza umma, pia ameshindwa kumshauri rais katika mika aliokaa ikulu kama mwandishi na mshauri wa hotuba. So kwa upande wa uwaziri baaado sana, hana focus ,hqana cv ya kumfanya awe kiongozi wa kitaifa zaidi y aubunge wa kupewa na babaye. Kwa kwli asingekuwa babaye ubunge angeusikia kwenye radio tu. Kwa hiyo kweli akichaguliwa waziri itakuwa afadhali baraza hili. Naomba sana chone mnaomshauri mkuu pale magogoni mmshauri asije akampa cheo huyu kibaraka wa mafisadi. A boy is so ambitious , very power monger and rud. Samahani kw languege lakini ni hasira za kutomtakahuyu kijana, kwa vile hana uwezo zaidi ya kuwa penda tu vyeo. Naungana na wasamariana wapenda nchi kuwa asipewe wapwew wengine wenye uwezo mbona wapo , wapo wengi tu. Ahnsante
 
DONT SPECULATE!!!! what if akiwa miongoni mwa wataochaguliwa??i think we should wait and see..ingawa MAGAMBA HAWA AMINIKI KABISA....
 
kiujumla kijana hafai kuwa waziri ,kwa kumwangalia tu, anaonekna ni fisadi mamilioni aliochukua kule barriki ameshindwa kueleza umma, pia ameshindwa kumshauri rais katika mika aliokaa ikulu kama mwandishi na mshauri wa hotuba. So kwa upande wa uwaziri baaado sana, hana focus ,hqana cv ya kumfanya awe kiongozi wa kitaifa zaidi y aubunge wa kupewa na babaye. Kwa kwli asingekuwa babaye ubunge angeusikia kwenye radio tu. Kwa hiyo kweli akichaguliwa waziri itakuwa afadhali baraza hili. Naomba sana chone mnaomshauri mkuu pale magogoni mmshauri asije akampa cheo huyu kibaraka wa mafisadi. A boy is so ambitious , very power monger and rud. Samahani kw languege lakini ni hasira za kutomtakahuyu kijana, kwa vile hana uwezo zaidi ya kuwa penda tu vyeo. Naungana na wasamariana wapenda nchi kuwa asipewe wapwew wengine wenye uwezo mbona wapo , wapo wengi tu. Ahnsante
Mkuu naona umekosa kabisa hoja yenye mashiko ya kumchafua January na kurukia mambo ya Barrick ambayo yalikanushwa kuanzia Canada mpaka kwenye Kampuni yenyewe kule Geita. Kwa hiyo hoja ya Barrick ni muendelezo wa majungu ya vijiweni amabayo haiwezi kutusaidia katika ustawi wa taifa letu. Pili uwaziri ni dhamana, ateuliwe ama asiteuliwe sio hoja, hoja ni kupata timu yenye uwezo wa kumsaidia rais katika ustawi wa nchi yetu.
 
huyu mkuu alikuwa na imani 100% kuwa atakuwepo lakini katoswa na kupigwa chini,inasemekana amefananishwa mambo yake na naibu waziri wa Nishati na madini!!taarifa kutoka jikoni

Acha unafiki wewe ! kama ipo , ipo tu haikwepeki,tunajua una uwivu wako binafsi kwa January Makamba!
 
kiujumla kijana hafai kuwa waziri ,kwa kumwangalia tu, anaonekna ni fisadi mamilioni aliochukua kule barriki ameshindwa kueleza umma, pia ameshindwa kumshauri rais katika mika aliokaa ikulu kama mwandishi na mshauri wa hotuba. So kwa upande wa uwaziri baaado sana, hana focus ,hqana cv ya kumfanya awe kiongozi wa kitaifa zaidi y aubunge wa kupewa na babaye. Kwa kwli asingekuwa babaye ubunge angeusikia kwenye radio tu. Kwa hiyo kweli akichaguliwa waziri itakuwa afadhali baraza hili. Naomba sana chone mnaomshauri mkuu pale magogoni mmshauri asije akampa cheo huyu kibaraka wa mafisadi. A boy is so ambitious , very power monger and rud. Samahani kw languege lakini ni hasira za kutomtakahuyu kijana, kwa vile hana uwezo zaidi ya kuwa penda tu vyeo. Naungana na wasamariana wapenda nchi kuwa asipewe wapwew wengine wenye uwezo mbona wapo , wapo wengi tu. Ahnsante

mbona unasema tu hana uwezo ila hautoi sababau zinazokufanya umuone hana uwezo,vijana wenzangu acheni majungu yasio na msingi. kila mwenye akili timamu anajua kuwa january makamba ni kichwa kizuri kinachoweza kufanya mambo mazuri kwa watanzani. unafikiri yeye malaika mpaka akose mapungufu? acha porojo kijana.
 
ni mtu kama wengine so isiwe ajabu kutoswa huyu jamaa. maana wako wengi na jamaa alishasema hataki uwaziri so kupewa uwaziri ni sawa na mkuu kujikomba kwake
 
Naomba niwakumbushe ndani ya ccm kuna makundi mawili;
1.wanaonyonya nchi hii (mafisadi) hapa yumo lowasa,january makamba,makongoro mahanga,peter serukamba,rostam azizi n.k
2. Ni kundi la waadilifu (wapinga ufisadi) akiwemo mwakyembe,samuel sitta,james lembeli,lucas selelii,anna kilango,aloyce kimaro,benad membe, n.k
kwa maana hiyo kikwete hawezi kuteua waumini wa lowasa kuwa mawaziri,hiyo sahau kabisa.
 
Mkuu naona umekosa kabisa hoja yenye mashiko ya kumchafua January na kurukia mambo ya Barrick ambayo yalikanushwa kuanzia Canada mpaka kwenye Kampuni yenyewe kule Geita. Kwa hiyo hoja ya Barrick ni muendelezo wa majungu ya vijiweni amabayo haiwezi kutusaidia katika ustawi wa taifa letu. Pili uwaziri ni dhamana, ateuliwe ama asiteuliwe sio hoja, hoja ni kupata timu yenye uwezo wa kumsaidia rais katika ustawi wa nchi yetu.

Mangapi yamekanushwa nchi hii ukianzia kwa MZee wa Vijicenti chenge na genge lingine la mawaziri ambao hawana uaminifu kwa serikali yake! sina hakika ila kama kweli alikula pesa za Barrick huyu atashindwa kukomboleza haraka kwa miaka mitatu ilobaki? Kikwete ana kazi kweli kweli ... nadhani mfumo mzima ubadilishwe kwanza ndio hii nchi itakaa sawa vinginevo hata hao watakaokuja mambo ni yale yale CHUKUWA CHAKO MAPEMA ! na ukizingatia imebaki miaka 3 ndio kabisaaa!
 
Jamani,msiwe wambea kama gazeti la MwanaHalisi na gazeti la Tanzania Daima haya magazeti ni kama mke na Mume,umbea unaoandikwa na mmojawao mwingine anauunga mkono haya magazeti yanapenda kweli kuandika tetesi au uvumi!
 
Mkuu ungekuwa muungwana kidogo basi ukaanza na TETESI. Inaweza ikawa kweli lakini kama haijathibitishwa inabaki kuwa tetesi na uthibitisho wenyewe ni tangazo la Rais manake haya mambo unaweza sasa hivi ukawemo lakini wakati wa kutangaza ukawa nje and the opposite is also true.


Hivi hawa mawaziri Rais anawaagiza kutoka nje au ni watanzania ambao wamo humu humu nchini?

Tangu amesema mpaka leo kimia. Najua anajua watanzania huwa tunasahau mambo makubwa na ya muhimu kwa haraka sana. anavuta vuta muda then mtashangaa atakachokifanya. Jamaa simwaminigi kabisa mie si ajabu akaita mkutano na wazee wa Dar kwanza.
 
huyu mkuu alikuwa na imani 100% kuwa atakuwepo lakini katoswa na kupigwa chini,inasemekana amefananishwa mambo yake na naibu waziri wa nishati na madini!!taarifa kutoka jikoni


**** mambo ya jikoni yako kwa jikoni sio humu kwenye jf, rais akisha tangaza baraza lake ndo utuwekee ili tujadili kama kakosa au hajakosa,kwa sasa unataka tuchangie nini, hata huyo makamba akiteuliwa au akikosa wewe utapata nini,tuwekee vitu vya msingi humu,watu wengine sijui mkoje mtu akifanya kazi vizuri mnamsema asipofanya kazi mnamsema tuwaweke upande gani
 
Naomba niwakumbushe ndani ya ccm kuna makundi mawili;
1.wanaonyonya nchi hii (mafisadi) hapa yumo lowasa,january makamba,makongoro mahanga,peter serukamba,rostam azizi n.k
2. Ni kundi la waadilifu (wapinga ufisadi) akiwemo mwakyembe,samuel sitta,james lembeli,lucas selelii,anna kilango,aloyce kimaro,benad membe, n.k
kwa maana hiyo kikwete hawezi kuteua waumini wa lowasa kuwa mawaziri,hiyo sahau kabisa.

nina wasi wasi na hapo lol!
 
mimi mwenyewe jana nilikuwa na jk, kaniambia kua atamteua Februari ooh sore Januari kuwa naibu waziri..
 
Hoja Jan Kupanguliwa na Barrick its obvious lazima wakatae bse its unethical kwa kampuni kubwa kama iyo ila hayo mambo yapo.
Mbona ata Sarkozy nae amekataa kuwa alipewa ela na Ghadafi kuufadhli uchaguzi wa 2007 wakati watoto wa Ghadafi wana ushahidi.
Izo rafu zipo jamani ili incase dogo akiukwaa kweli wao waendelee kutubia
 
Jamaa ni ana uwezo wa uongozi sijawahi ona, hata kama atatoswa sasa hivi, lakini jamaa atakuwa msaada sana huko mbele.
.
"Ama kweli CHADEMA NI SAWA NA NG'OMBE ASIYE NA BEI SOKONI".
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".

ana uwezo wa kukuongoza wewe na mkeo chumbani pmbaf zako.JANUARY ndo wale wale oppotunist warithi wanaotaka kutafuna nchi kama wazazi wao.ALINIUDHI JUZI MJENGONI NIKAONA HUYU HATUFAI.jamii ya january na william malicela ni ya kuitokomeza mara moja isiinfluence kisiasa 4 the future of our generation
 
Back
Top Bottom