kicheche999
Member
- Apr 23, 2012
- 47
- 16
Tuwasihi makamanda wanaotaka mabadiliko TZ kama Lema au Zitto wanzishe maandamano kila ijumaa kama tahrir square hadi serikali au viongozi "mafisadi" wawajibishwe. Watu watakapo zidi kusikia kuhusu haya maandamano nawakika kila Ijumaa watu watazidi kuongezeka viwanjani na hapo ndipo viongozi wataanza kujinyea. Maandamano pia yatawafanya watu wajisikie kama wanauwezo na sauti ya kulazimisha mabadiliko nchini