Muhimbili Hakuna CO ndugu pale Kuna MD , kama unataka kusoma co nenda kibaha college, mafinga clinical Officer , hivyo navyojua vinatoa Co kama unataka kusoma mkuu
Clinical Officer maana yake ni Daktari msaidizi ila huyu anakuwa anafanya kazi katika vituo vya afya, hasa vya vijijini, hii kozi ili anzishwa kwa sababu tu ya upungufu wa madktari ,
Mimi naona Brian coden, aliamua kufanya hivyo kujaribu kuonyesha maisha ya yesu kristo , huyu alikuwa hana nia mbaya kwani kupitia movie yake imeafanya watu wengi kuokoka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.