Recent content by George materu

  1. G

    Mambo ya kujifunza mwezi Januari

    Daah Shikamoo January , Ni hatari kwa January kula bata
  2. G

    Walio somea muhimbili kuna Coz ya C.O

    Muhimbili Hakuna CO ndugu pale Kuna MD , kama unataka kusoma co nenda kibaha college, mafinga clinical Officer , hivyo navyojua vinatoa Co kama unataka kusoma mkuu
  3. G

    Walio somea muhimbili kuna Coz ya C.O

    Clinical Officer maana yake ni Daktari msaidizi ila huyu anakuwa anafanya kazi katika vituo vya afya, hasa vya vijijini, hii kozi ili anzishwa kwa sababu tu ya upungufu wa madktari ,
  4. G

    Chuo gani kinatoa kozi ya clinical officer kwa ada nafuu

    Wewe unaongea kitu ambacho hukijui, kwa mtu anayesoma diploma za afya mshahara ni sawa na mtu ambaye anayechukua degree ya education.
  5. G

    Comb ya HGL unaweza kusoma kozi gani degree?

    Mkuu upo serious kweli, au umo kwenye hili jukwaa kutania tu , ww Hkl akasomee medicine wakati CBG , CBE, CBA hawezi kusoma udktari, acha utani ww
  6. G

    Comb ya HGL unaweza kusoma kozi gani degree?

    Mm naona ukasomee sheria (law) ndio inafaa kwa comb hiyo , ila hata political inafaa sana kwako mkuu
  7. G

    Serikali iwasaidie Wauguzi watoke hapo walipo

    Aisee kumbe uuguzi uko hivyo hata mm nasomea hiyo ngojea nikubaliane na changamoto mm nilikuwa sijui
  8. G

    Hivi hii Nyimbo Ya Darassa Ina Nini Cha Ajabu?

    Mbona kashajiunga na wasafi wewe, hujui[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji3] hatariii halafu naskia wanatoa kollabo
  9. G

    Hivi hii Nyimbo Ya Darassa Ina Nini Cha Ajabu?

    Darasa yule jamaa ni hatariii, hata diamond anamkubali, anaimba vitu vyevye maana yule hafai
  10. G

    Huyu ndiye Muigizaji Brian Deacon, aliyeigiza kama Yesu na anachokifanya kwa sasa katika Maisha

    Mimi naona Brian coden, aliamua kufanya hivyo kujaribu kuonyesha maisha ya yesu kristo , huyu alikuwa hana nia mbaya kwani kupitia movie yake imeafanya watu wengi kuokoka
Back
Top Bottom