Mambo ya kujifunza mwezi Januari

Meja M

JF-Expert Member
Oct 4, 2016
628
560
MAMBO KUMI(10 ) NINAYOJIFUNZA JANUARY

1. Kumbe waweza shinda njaa bila kufa.

2.Kumbe waweza beba chakula na kwenda nacho kazini.

3. Bila boda, Bila bajaj unaweza tembea na kufika Kazini.

4. Tafadhali nipigie ni huduma ya msingi

5.Nyama ni mbaya kwa Afya yako.

6. Jiko la mkaa linapika chakula kizuri sanaa.

7. Kumbe ukisaga Mahindi yasiyokobolewa yanatoa unga safii
8.Maji ya kuchemsha ni matamu na mazuri sana zaidi ya Dasani.

9. Waweza kula ugali kama kifungua kinywa( breakfast)

10. Ukioga na sabuni ya Kipande, bado utakuwa msafi. ASANTE JANUARI.
 
MAMBO KUMI(10 ) NINAYOJIFUNZA JANUARY

1. Kumbe waweza shinda njaa bila kufa.

2.Kumbe waweza beba chakula na kwenda nacho kazini.

3. Bila boda, Bila bajaj unaweza tembea na kufika Kazini.

4. Tafadhali nipigie ni huduma ya msingi

5.Nyama ni mbaya kwa Afya yako.

6. Jiko la mkaa linapika chakula kizuri sanaa.

7. Kumbe ukisaga Mahindi yasiyokobolewa yanatoa unga safii
8.Maji ya kuchemsha ni matamu na mazuri sana zaidi ya Dasani.

9. Waweza kula ugali kama kifungua kinywa( breakfast)

10. Ukioga na sabuni ya Kipande, bado utakuwa msafi. ASANTE JANUARI.
Mchemsho n mtamu kuliko kuunga
 
Back
Top Bottom