certified mdokozi
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 1,402
- 816
Logistic.....
Mkuu upo serious kweli, au umo kwenye hili jukwaa kutania tu , ww Hkl akasomee medicine wakati CBG , CBE, CBA hawezi kusoma udktari, acha utani wwMedicine
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....Mungu tusaidieMedicine
Asante sana umeeleweka vilivyoLaw(LLB), BA (sociology), BA (Geography &environment studies), Bsc(urban planing), BA ( Fine and perfoming arts), BA (Journalism), BA (Political science and public administration), Human Resources management, Social work, Education, Linguistics
Ukisoma LLB, unaweza kuwa hakimu na Mungu akikujalia utakuja kuwa Judge.
Pia unaweza kuwa mwanasheria wa kujitegemea,
Sociology : Unaweza kuwa Afisa maendeleo wa jamii katika wizara na idara mbalimbali, pia unaweza kuajiriwa TAKUKURU, Police, Magereza, Jeshini, Uhamiaji, Zimamoto, na Usalama wa taifa
Urban planing : Utaajiriwa kama afisa mipango miji. Lakini pia unaweza kuajiriwa kama nilivyoainisha kwa mtu wa Sociology.
Journalism : Unaweza kuajiriwa kama mwandishi wa habari, ama ukawa mwandishi wa habari wa kujitegemea, pia unaweza kuajiriwa kama msemaji wa kampuni au shirika. Na hapa pia unaweza kuajiriwa kama nilivyoeleza kwa mtu wa sociology.
Asante sana umeeleweka vilivyo
Wewe hivi ni kweli?Jiandae kusomea ualimu tena diploma make degree hawana soko kwa sasa
Umebobea sanaLaw(LLB), BA (sociology), BA (Geography &environment studies), Bsc(urban planing), BA ( Fine and perfoming arts), BA (Journalism), BA (Political science and public administration), Human Resources management, Social work, Education, Linguistics
Ukisoma LLB, unaweza kuwa hakimu na Mungu akikujalia utakuja kuwa Judge.
Pia unaweza kuwa mwanasheria wa kujitegemea,
Sociology : Unaweza kuwa Afisa maendeleo wa jamii katika wizara na idara mbalimbali, pia unaweza kuajiriwa TAKUKURU, Police, Magereza, Jeshini, Uhamiaji, Zimamoto, na Usalama wa taifa
Urban planing : Utaajiriwa kama afisa mipango miji. Lakini pia unaweza kuajiriwa kama nilivyoainisha kwa mtu wa Sociology.
Journalism : Unaweza kuajiriwa kama mwandishi wa habari, ama ukawa mwandishi wa habari wa kujitegemea, pia unaweza kuajiriwa kama msemaji wa kampuni au shirika. Na hapa pia unaweza kuajiriwa kama nilivyoeleza kwa mtu wa sociology.
Mfano mtu alisoma Bachelor ya Education akitaka kwenda kusoma Law inabidi afanye nn? Yaani kuna hatua gan anapaswa kufuata?Education
Sociology
Law
Na nyinginezo nyingi Mkuu. Inategemea we unapenda nini haswa.
Kila kozi ina ajira,what matters is how competent you are. Soma kitu unachokipenda kwa bidii.
Education ina uwanja mpana zaidi wa kujitafutia ajira lakini sasa hivi walimu wa masomo ya Sanaa (Arts) washaanza kuzinguliwa. Ingekua miaka ile ambayo tulisoma sisi,ilikua ni dili sana. Kwa sasa soma tu ili uondoe ujinga kisha rudi mtaani kupambana kwa njia zote za halali.