ok , by the way, clinical officer inapendwa sana na watu ila kwangu sijua kwann , coz nilifuatilia post za members humu ndani juu ya mshara wao haufiki hata m.1Hahahaa!, hakuna course za direct namna hiyo. Hata ukisoma Agronomy wewe utakuwa Agronomist
Okay, sawa haina shida. Ni nzuri sana hiyo hebu kaisome maana hata kujiajiri ni rahisi sana. Unaweza ukaanza kwa kufungua kaduka ka dawa muhimuok , by the way, clinical officer inapendwa sana na watu ila kwangu sijua kwann , coz nilifuatilia post za members humu ndani juu ya mshara wao haufiki hata m.1
Watu wanasoma c.o n kwa sababu wengi wanashindwa kuingia medicine fresh from alevel due to high competition pia na vyuo vichache ko mtu anakosa njia nyingine ya kuishi ndoto zake ukiachia wale wanaopitia shortcut ya form four..... Na pia inapendwa coz ajira yake n reliable ni kama udaktari tuuuuok , by the way, clinical officer inapendwa sana na watu ila kwangu sijua kwann , coz nilifuatilia post za members humu ndani juu ya mshara wao haufiki hata m.1
safi sanaWatu wanasoma c.o n kwa sababu wengi wanashindwa kuingia medicine fresh from alevel due to high competition pia na vyuo vichache ko mtu anakosa njia nyingine ya kuishi ndoto zake ukiachia wale wanaopitia shortcut ya form four..... Na pia inapendwa coz ajira yake n reliable ni kama udaktari tuuuu
Diploma zote za afya serikalini hakuna ifikayo laki saba kabla ya makato.Wanazidiwa hadi na mwalimu mwenye degreeok , by the way, clinical officer inapendwa sana na watu ila kwangu sijua kwann , coz nilifuatilia post za members humu ndani juu ya mshara wao haufiki hata m.1
We ushasema degree , diploma na degree madaraja ya mshahara ni tofautuDiploma zote za afya serikalini hakuna ifikayo laki saba kabla ya makato.Wanazidiwa hadi na mwalimu mwenye degree
Wewe unaongea kitu ambacho hukijui, kwa mtu anayesoma diploma za afya mshahara ni sawa na mtu ambaye anayechukua degree ya education.