kwa maono yangu iPhone iko poa zaidi kwasababu ni simu yenye ubora zaidi kwa sababu operating system iko tofaut sana ,ila tatizo haipo compatible na maisha ya kibongo app nzuri unalipia pia ipo compatible na PC kwenye kuingiza baadh ya vitu
Tanzania ni nchi yenye walaji wa nyama wengi na kuku huliwa kwa kiasi kikubwa sana.
Hata kama bei zinapanda, ulaji unaendelea kukua.
Matokeo yake ni kwamba kufuga kuku inaweza ikawa biashara yenye faida kubwa kwako kwa kuwa yanahitajika kwa wingi.
Kwa nini ufugaji wa kuku inafaida sana...
huu msemo wa haki sawa ita fatana una utumia wapi .....hakuna haki sawa hapa duniani ...una enda hospitali mzee ana pewa kipao mbelee kuna usawa au ni hekima hutumika na sio usawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.