Mshahara wa Mwalimu

Mshahara wa Mwalimu

Mshahara unategemea daraja na daraja hutegemea elimu na uzoefu kazini.

Kwa anayeanza kinachoamua daraja la kuanzia ni elimu. Cheti wanaanza 400+, stashahada 500+, shahada 700+.

Haijalishi upo msingi au sekondari kigezo ni kiwango cha elimu.
 
Hapana mkuu watanzania wengi tunapenda mizaha mpaka baadhi wamekuwa wajinga sasa,, MTU ambaye ana degree hana tofauti na mtu ambaye hajui hata " a"
Dah! Yaani itafikia hatua watu wataogopa kuuliza maswali ama hata kuomba ushauri humu
 
Mtu anauliza swali kwa nia njema , ila watu wanaanza kumshambulia kama ilivyotokea kwangu yaani wala Sina hata hamu ya kuulizia
 
Mtu anauliza swali kwa nia njema , ila watu wanaanza kumshambulia kama ilivyotokea kwangu yaani wala Sina hata hamu ya kuulizia
Yaani mkuu humu hatufamiani lakini bado panahitaji roho ya chuma! MTU akiwa na roho nyepesi anakata tamaa kabisa, na mkorofi atawashushia matusi ya kutosha.
 
Mtu anauliza swali kwa nia njema , ila watu wanaanza kumshambulia kama ilivyotokea kwangu yaani wala Sina hata hamu ya kuulizia
JF sometimes watu wana hasira sana mpaka unajiuliza.Je hawa ndo Magreat Thinker?
 
Back
Top Bottom