The best smartphone 2017... Samsung galaxy S8

The best smartphone 2017... Samsung galaxy S8

tafuta simu yenye snapdragon 625 au 450 au kirin 650 series kwa hio budget. kwa huawei ni simu kama

-Huawei Nova
-Honor 6x (Huawei GR5) ya 2017
Nina swali lingine hapa nataka mnunulia laptop yenye qualifications poa namnunulia dogo ya shule aisee..ila nina kama 200 hivi ama mia mbili nakitu hapo sipati?nakama napata aina gani
 
Nina swali lingine hapa nataka mnunulia laptop yenye qualifications poa namnunulia dogo ya shule aisee..ila nina kama 200 hivi ama mia mbili nakitu hapo sipati?nakama napata aina gani
unapata za mtumba, anasoma kitu gani huyo dogo?
 
Anasoma Law napata ya specs gani?
za core 2 duo atapata kwa hio bei, ila ajiandae kisaikolojia kutumia laptop inayopata moto kila mara na isiotunza chaji sana.

au atafute laptop za atom, zitakuwa slow sana lakini itatunza chaji na haipati moto.
 
mi natumia iphone lakini sijawahi kupata picha nzuri usiku,,sijui wenzangu hili kwenu vipi
 
za core 2 duo atapata kwa hio bei, ila ajiandae kisaikolojia kutumia laptop inayopata moto kila mara na isiotunza chaji sana.

au atafute laptop za atom, zitakuwa slow sana lakini itatunza chaji na haipati moto.
kwaiyo ambazo hazitapata moto na ziko fresh bei gani?
 
kwa maono yangu iPhone iko poa zaidi kwasababu ni simu yenye ubora zaidi kwa sababu operating system iko tofaut sana ,ila tatizo haipo compatible na maisha ya kibongo app nzuri unalipia pia ipo compatible na PC kwenye kuingiza baadh ya vitu
 
hizo zote tatu ni high end phones na zote ziko vizuri kwa upande wa specs...ila kilichonifanya kuiweka lg v30 kuwa ya kwanza ni jinsi walivyoweza kuoptimize matumizi yake ya battery...ukichunguza video nyingi zinazo onesha battery drainage comparisons kati ya hizo simu hapo juu lg v30 imekuwa ikishika no 1...

S8 nimeiweka ya pili kwasababu ya designing yake plus specs ,ijapokuwa kwa specs hawajaachana na v30..designing iliyonivutia ni jinsi walivyoweza kuzipunguza zile bezels bila kualter performance yake.

google pixel 2 XL nimeiweka ya tatu kwa ajili ya camera , S8 iko poa kwenye camera ila kwa selfie hamgusi huyu jamaa. (waweza fuatilia comparisons zilizoko mtandaoni ujionee hizo picha zilizopigwa na hizi simu)...

ONE plus 5T nimeikubali cuz haiko kwenye makundi ya price ya hizo simu tatu nilizozitaja hapo juu ila inakupa specs na performance karibia na hizo hapo juu naweza sema kwa asilimia 88% - 94% ....hata pia nashangaa kwanini mtu anachanganyikiwa na iphone X wakati hata huyu ONE PLUS 5T anaweza kupa performance nzuri kuliko iphone X ....

binafsi naona ni kejeli kufananisha (S8 , google pixel 2 au lg v30) na iphone X

mtazamo tu , sio sheria.
vigezo vyako vya youtube tu
 
hizo zote tatu ni high end phones na zote ziko vizuri kwa upande wa specs...ila kilichonifanya kuiweka lg v30 kuwa ya kwanza ni jinsi walivyoweza kuoptimize matumizi yake ya battery...ukichunguza video nyingi zinazo onesha battery drainage comparisons kati ya hizo simu hapo juu lg v30 imekuwa ikishika no 1...

S8 nimeiweka ya pili kwasababu ya designing yake plus specs ,ijapokuwa kwa specs hawajaachana na v30..designing iliyonivutia ni jinsi walivyoweza kuzipunguza zile bezels bila kualter performance yake.

google pixel 2 XL nimeiweka ya tatu kwa ajili ya camera , S8 iko poa kwenye camera ila kwa selfie hamgusi huyu jamaa. (waweza fuatilia comparisons zilizoko mtandaoni ujionee hizo picha zilizopigwa na hizi simu)...

ONE plus 5T nimeikubali cuz haiko kwenye makundi ya price ya hizo simu tatu nilizozitaja hapo juu ila inakupa specs na performance karibia na hizo hapo juu naweza sema kwa asilimia 88% - 94% ....hata pia nashangaa kwanini mtu anachanganyikiwa na iphone X wakati hata huyu ONE PLUS 5T anaweza kupa performance nzuri kuliko iphone X ....

binafsi naona ni kejeli kufananisha (S8 , google pixel 2 au lg v30) na iphone X

mtazamo tu , sio sheria.
Mkuu naomba kujua ubora na bei yake kwa sasa ya lg v10 japo imepitwa na wakati sana
 
Back
Top Bottom