Samahani mkuu, unaposema "flagship" Maanake nini?Mi naonaga price ya A series ni bora zaidi ukajiongeza kwenye S series....
A7 ya 2017 ni nzuri pia japo sio flagship
Nina swali lingine hapa nataka mnunulia laptop yenye qualifications poa namnunulia dogo ya shule aisee..ila nina kama 200 hivi ama mia mbili nakitu hapo sipati?nakama napata aina ganitafuta simu yenye snapdragon 625 au 450 au kirin 650 series kwa hio budget. kwa huawei ni simu kama
-Huawei Nova
-Honor 6x (Huawei GR5) ya 2017
unapata za mtumba, anasoma kitu gani huyo dogo?Nina swali lingine hapa nataka mnunulia laptop yenye qualifications poa namnunulia dogo ya shule aisee..ila nina kama 200 hivi ama mia mbili nakitu hapo sipati?nakama napata aina gani
Anasoma Law napata ya specs gani?unapata za mtumba, anasoma kitu gani huyo dogo?
za core 2 duo atapata kwa hio bei, ila ajiandae kisaikolojia kutumia laptop inayopata moto kila mara na isiotunza chaji sana.Anasoma Law napata ya specs gani?
kwaiyo ambazo hazitapata moto na ziko fresh bei gani?za core 2 duo atapata kwa hio bei, ila ajiandae kisaikolojia kutumia laptop inayopata moto kila mara na isiotunza chaji sana.
au atafute laptop za atom, zitakuwa slow sana lakini itatunza chaji na haipati moto.
angalau i3/i5/i7 generation ya pili kupanda. hizi kuanzia 300,000 hivi,kwaiyo ambazo hazitapata moto na ziko fresh bei gani?
Hivi nikiagiza inaweza ikapungua?,,,,,,,, na nawezaje kumpata mtu wa kumuagiza?, msaada kwenye tuta tafadhaliRoughly 1.7M
vigezo vyako vya youtube tuhizo zote tatu ni high end phones na zote ziko vizuri kwa upande wa specs...ila kilichonifanya kuiweka lg v30 kuwa ya kwanza ni jinsi walivyoweza kuoptimize matumizi yake ya battery...ukichunguza video nyingi zinazo onesha battery drainage comparisons kati ya hizo simu hapo juu lg v30 imekuwa ikishika no 1...
S8 nimeiweka ya pili kwasababu ya designing yake plus specs ,ijapokuwa kwa specs hawajaachana na v30..designing iliyonivutia ni jinsi walivyoweza kuzipunguza zile bezels bila kualter performance yake.
google pixel 2 XL nimeiweka ya tatu kwa ajili ya camera , S8 iko poa kwenye camera ila kwa selfie hamgusi huyu jamaa. (waweza fuatilia comparisons zilizoko mtandaoni ujionee hizo picha zilizopigwa na hizi simu)...
ONE plus 5T nimeikubali cuz haiko kwenye makundi ya price ya hizo simu tatu nilizozitaja hapo juu ila inakupa specs na performance karibia na hizo hapo juu naweza sema kwa asilimia 88% - 94% ....hata pia nashangaa kwanini mtu anachanganyikiwa na iphone X wakati hata huyu ONE PLUS 5T anaweza kupa performance nzuri kuliko iphone X ....
binafsi naona ni kejeli kufananisha (S8 , google pixel 2 au lg v30) na iphone X
mtazamo tu , sio sheria.![]()
![]()
![]()
Mkuu naomba kujua ubora na bei yake kwa sasa ya lg v10 japo imepitwa na wakati sanahizo zote tatu ni high end phones na zote ziko vizuri kwa upande wa specs...ila kilichonifanya kuiweka lg v30 kuwa ya kwanza ni jinsi walivyoweza kuoptimize matumizi yake ya battery...ukichunguza video nyingi zinazo onesha battery drainage comparisons kati ya hizo simu hapo juu lg v30 imekuwa ikishika no 1...
S8 nimeiweka ya pili kwasababu ya designing yake plus specs ,ijapokuwa kwa specs hawajaachana na v30..designing iliyonivutia ni jinsi walivyoweza kuzipunguza zile bezels bila kualter performance yake.
google pixel 2 XL nimeiweka ya tatu kwa ajili ya camera , S8 iko poa kwenye camera ila kwa selfie hamgusi huyu jamaa. (waweza fuatilia comparisons zilizoko mtandaoni ujionee hizo picha zilizopigwa na hizi simu)...
ONE plus 5T nimeikubali cuz haiko kwenye makundi ya price ya hizo simu tatu nilizozitaja hapo juu ila inakupa specs na performance karibia na hizo hapo juu naweza sema kwa asilimia 88% - 94% ....hata pia nashangaa kwanini mtu anachanganyikiwa na iphone X wakati hata huyu ONE PLUS 5T anaweza kupa performance nzuri kuliko iphone X ....
binafsi naona ni kejeli kufananisha (S8 , google pixel 2 au lg v30) na iphone X
mtazamo tu , sio sheria.![]()
![]()
![]()