Watanzania tupo negative sana.
Kwani comment nyingi vinamkashifu JPM kwa kutokwenda Rwanda. Tunashindwa kufikiria positive side ya kwanini ameshindwa kwenda Rwanda.
MM nashanga sana kuona Adui amenzungukwa halafu inatokea wengine wanatoroka.
Inaonyesha police wetu sio makini wakati wa pigano na adui.
Kuna room of improvement wajifunze kutokana na makosa wanayofanya mpaka adui anatoroka.
Nikuuliza kunamtu anajua maana ya Freemanson? Ningependa kwa mtu ambaye anajua anachoongea siyo uliyosikia kwa mtu au watu.
Kwani wengi wetu tuna upotofu fulani kuhusu hawa jamaa wa Freemanson.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.