Mzalendo80
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,508
- 1,338
Wakati Rais wa TLS na Mbunge wa Singida Mashariki Mh. Tundu Lissu akitibiwa huko Nairobi kwa Gharama ya Chadema pamoja na Michango ya Watanzania. Serikali imeamua kumpeleka na kulipia gharama zote za Meja Vicent Mritaba.
Meja Jenerali Mstaafu wa JWTZ Amepelekwa leo asubuhi South Africa kwa Matibabu. Meja Vincent inasemekana hali yake sio nzuri tangu ajeruhiwe kwa risasi maeneo ya Ununio, Dar Es Salaam.
Meja Jenerali Vincent Mritaba anapata matibabu katika Hospital ya Unitas iliyopo Centurion nje kidogo ya Mji mkuu wa South Africa, Pretoria.
Meja Jenerali Mstaafu wa JWTZ Amepelekwa leo asubuhi South Africa kwa Matibabu. Meja Vincent inasemekana hali yake sio nzuri tangu ajeruhiwe kwa risasi maeneo ya Ununio, Dar Es Salaam.
Meja Jenerali Vincent Mritaba anapata matibabu katika Hospital ya Unitas iliyopo Centurion nje kidogo ya Mji mkuu wa South Africa, Pretoria.