Sema hiyo haitasaidia kama wameamua kupindua watapindua tuuu... Alpha Conde alimuamini sana doumbouy kwa kuwa tayari naye alikuwa ni wa kabila moja na wanatoka sehemu moja ya kuzaliwa na mbaya zaidi alimwezesha kupata mafunzo mengi zaidi akiamini kupitia yeye ulinzi utakuwa madhubuti mwishowe...
Nafikiri wew hujamuelewa vizurimie nimemuelewa alisema maa ana maanisha kwamba , ikiwa mtoto anasafiri yeye mwenyewe bila uwepo wa mtu mzima ndio itahitaji kibali cha mzazi na serikali za mtaaa. Vinginevyo hayo ni mawazo yako tuu na huo mfumo ulikuwepo sana miaka ya nyuma sema kwa kipindi cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.