Recent content by General Yankyu

  1. General Yankyu

    Matukio ya Mapinduzi barani Afrika ndani ya Mwaka 2021

    Sema hiyo haitasaidia kama wameamua kupindua watapindua tuuu... Alpha Conde alimuamini sana doumbouy kwa kuwa tayari naye alikuwa ni wa kabila moja na wanatoka sehemu moja ya kuzaliwa na mbaya zaidi alimwezesha kupata mafunzo mengi zaidi akiamini kupitia yeye ulinzi utakuwa madhubuti mwishowe...
  2. General Yankyu

    Msumbiji: Kambi ya Wapiganaji yasambaratishwa

    Akumbuke pia Tanzania kitovu cha kushukikia masuala ya ulinzi
  3. General Yankyu

    Afghanistan: Taliban yawataka Wanawake wanaofanya kazi kubaki Nyumbani

    Pengine wanataka kurejesha sheria zao za kipindi cha nyumba kabla ya wao kusambaratishwa na wa Marekani
  4. General Yankyu

    Kiongozi wa zamani wa Bolivia ajaribu kujiua akiwa Gerezani

    Duuu, huyu si raisi ambaye wali fremu video ya ngono bayo ilisambaaa sana baada ya kuingia madarakani
  5. General Yankyu

    Shambulio la Mogadishu: Vikosi vya Somalia vyazima shambulio baya katika Elite Hotel

    Hawajamaaa, si dhani kama watakuja kumalizika looh! * wasio na hatia ndio wanaoteketea zaidi
  6. General Yankyu

    Kila mtoto chini ya miaka 18 kusafirishwa kutoka eneo moja kwenda jingine kwa kibali cha mzazi na cha Serikali ya mtaa

    Nafikiri wew hujamuelewa vizurimie nimemuelewa alisema maa ana maanisha kwamba , ikiwa mtoto anasafiri yeye mwenyewe bila uwepo wa mtu mzima ndio itahitaji kibali cha mzazi na serikali za mtaaa. Vinginevyo hayo ni mawazo yako tuu na huo mfumo ulikuwepo sana miaka ya nyuma sema kwa kipindi cha...
  7. General Yankyu

    Kitu gani cha kawaida hujawahi kufanya?

    Sijawahi kwenda kuangalia mpira uwanjani licha ya kukaa hapa DSM licha ya kukaa hapa jirani na uwanja wa taifa
Back
Top Bottom