Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,010
- 9,875
Kambi ya wapiganaji wa ASWJ ya Chitama Jimbo la Cabo Delgado imesambaratishwa katika operasheni ya SADC Msumbiji (SAMIM)
Magaidi 17 wameuawa. Askari 1 aliokuwa katika operasheni hiyo amefariki na 3 wamejeruhiwa
Pia katika Operasheni ya Septemba 26, SAMIM wameiangusha kambi ya Messalo ambapo gaidi mmoja ameuawa na mwingine anayesadikika kuwa mwalimu wao anashikiliwa kwa mahojiano
Magaidi 17 wameuawa. Askari 1 aliokuwa katika operasheni hiyo amefariki na 3 wamejeruhiwa
Pia katika Operasheni ya Septemba 26, SAMIM wameiangusha kambi ya Messalo ambapo gaidi mmoja ameuawa na mwingine anayesadikika kuwa mwalimu wao anashikiliwa kwa mahojiano