Msumbiji: Kambi ya Wapiganaji yasambaratishwa

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,010
9,875
Kambi ya wapiganaji wa ASWJ ya Chitama Jimbo la Cabo Delgado imesambaratishwa katika operasheni ya SADC Msumbiji (SAMIM)

Magaidi 17 wameuawa. Askari 1 aliokuwa katika operasheni hiyo amefariki na 3 wamejeruhiwa

Pia katika Operasheni ya Septemba 26, SAMIM wameiangusha kambi ya Messalo ambapo gaidi mmoja ameuawa na mwingine anayesadikika kuwa mwalimu wao anashikiliwa kwa mahojiano

IMG_20210927_203432_955.jpg
 
Hivi hizi taarifa zina walakini gani? yaani tarehe 26 kambi imesambatishwa, gaidi mmoja kauwawa na mwingine "anayesemekana" ni mwalimu wao kakamatwa. Hii kambi ilikuwa na watu wangapi ? mtu ukisikia kambi basi unatarajia idadi flan ya watu, isijekuwa wengine ni wapitanjia tu wanabandikwa majina.
 
Kambi ya wapiganaji wa ASWJ ya Chitama Jimbo la Cabo Delgado imesambaratishwa katika operasheni ya SADC Msumbiji (SAMIM)

Magaidi 17 wameuawa. Askari 1 aliokuwa katika operasheni hiyo amefariki na 3 wamejeruhiwa

Pia katika Operasheni ya Septemba 26, SAMIM wameiangusha kambi ya Messalo ambapo gaidi mmoja ameuawa na mwingine anayesadikika kuwa mwalimu wao anashikiliwa kwa mahojiano

View attachment 1954920
Taarifa njema Sana

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Hivi hizi taarifa zina walakini gani? yaani tarehe 26 kambi imesambatishwa, gaidi mmoja kauwawa na mwingine "anayesemekana" ni mwalimu wao kakamatwa. Hii kambi ilikuwa na watu wangapi ? mtu ukisikia kambi basi unatarajia idadi flan ya watu, isijekuwa wengine ni wapitanjia tu wanabandikwa majina.
Sasa tuamini lipi tuache lipi? Jana jioni kuna taarifa zilisema jeshi LA Rwanda lilipoteza wanajeshi 16 au 26 na maafisa 3 wenye vyeo vya juu jeshini na wengine kujeruhiwa kwenye mapambano na waasi/ISIS!!

Hii inadhilisha kwamba tunao waita magaidi wa kislaam hawana mchezo ie si lelemama and most likely wala si magaidi bali wana Msumbiji wanao pingana na Serikali yao wanashirikiana na baadhi ya RAIA kaskazini mwa Msumbiji pamoja na wageni ili kuifanya nchi hisitawalike kirahisi. Tusije tukajidanganya kwamba RENAMO na Dharakama walisambaratika kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom