Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martin Shigela amekutana na kufanya mazungumzo na madereva wa Tanzania katika mpaka wa Tanzania na Kenya Horohoro kwa lengo la kupata suluhisho la mgogoro kwa madereva hao kuzuiliwa kuingia Nchini humo.
Amepiga marufuku madereva wa Tanzania kupimwa virusi vya corona nchini Kenya, baada ya kuwa wamepimwa hapa nchini, kitendo kinachoweza kuwasababishia matatizo ya upungufu wa akili na kuathiri ubongo kwa kuchokonolewa kila baada ya siku 14.
Shigela amewataka Wamiliki wa magari kuajiri madereva wawili ili waweze kupokezana kwa lengo la kupunguza changamoto za usumbufu wa upimaji wa virusi vya corona.
Amepiga marufuku madereva wa Tanzania kupimwa virusi vya corona nchini Kenya, baada ya kuwa wamepimwa hapa nchini, kitendo kinachoweza kuwasababishia matatizo ya upungufu wa akili na kuathiri ubongo kwa kuchokonolewa kila baada ya siku 14.
Shigela amewataka Wamiliki wa magari kuajiri madereva wawili ili waweze kupokezana kwa lengo la kupunguza changamoto za usumbufu wa upimaji wa virusi vya corona.