ma group makuu yapo matatu,A,B,O.KATIKA MUUNGANIKO NDO TUNAPATA A,B,O,AB,AO,BO,HIVYO BASI KAMA BABA NI B+ NA MAMA NI O+,MTOTO ANAWEZA KUWA B+,O+ AU Bo.
mkuu,katika maswala ya kiusalama na hasa yanayogusa maisha ya watu,ikiwa na maana kwamba yule unayenegotiate nae ana uwezo wa kuyafanya chochote maisha ya watu anaowashikilia huwa hatutumii maneno HAPANA au HAIWEZEKANI.haya ni maneno ambayo ni mwiko kumwambia gaidi au mteka nyara.huwa...
hahahaha,kwanza akaunt yangu haijui na hajui kama nina akaunt jf,nilichomuaminisha ni kuwa hii ni blog ya habari tu so huwa naingia huku kusoma habari.vimbwanga vya huku havijui kabisa so kunishtukia itakuwa ngumu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.