X wangu kaniambia nimemroga!

X wangu kaniambia nimemroga!

ts true, si kumloga but maneno huumba na kama bado huja muachia rohon mwako atazid safa, just forgive her bwana.

How do I? Hebu nifunze jinsi ya kumwachia rohoni...guys I think I need help on this.. its has been years but mmmhh
 
hilo guu la mtoto liongeze kidogo halafu hizo saba kwani umesikia mimi mwanafunzi,fanya 10 na cha 11 cha kukuagia..uje tu umeshiba

Haya ngoja nile nimeagiza paja 2 za mbuzi na ugali kilo 2 nikimaliza nashushia na maji lita 3 na maziwa nusu lita.usijali mtoto mzuri nitapiga hata 14,shida zako zote za kuguswa guswa leo zitaisha ila usikose kuja na maji ya moto.
 
Ni kweli mamy ila kuna muda kuropoka huko kunatu cost!!!

Kunatukost kivipi? Kile unachoamini na kukiogopa ndicho kinachokufuatilia na kukupata kila siku.
 
Kongosho hapana labda Kiranga. Kongosho bado hajui anachoamini yuko vuguvugu lkn Kiranga yeye anajua anaposimama. Na siku Mungu akiamua kumtumia (maana huwa anatumia design ya kina kiranga) ataleta tofauti kubwa ktk maisha ya watu.

Mungu gani?

Unajuaje kwamba yupo na si wa kufikirika katika maruweruwe yako tu na mapokeo yasiyo mshiko ya tangu utotoni?

Hakuna ushahidi kwamba kuna mungu, shetani wala uchawi.
 
Mungu gani?

Unajuaje kwamba yupo na si wa kufikirika katika maruweruwe yako tu na mapokeo yasiyo mshiko ya tangu utotoni?

Hakuna ushahidi kwamba kuna mungu, shetani wala uchawi.

Yaani huwa nakuona ktk imaginations zangu ukiongoka kama Paulo na jinsi utakavyokuja hubiri Injili ya Kristu ninapata raha mpaka basi.
 
Mungu gani?

Unajuaje kwamba yupo na si wa kufikirika katika maruweruwe yako tu na mapokeo yasiyo mshiko ya tangu utotoni?

Hakuna ushahidi kwamba kuna mungu, shetani wala uchawi.

Na mjinga alisema 'HAKUNA MUNGU'.
 
Yaani huwa nakuona ktk imaginations zangu ukiongoka kama Paulo na jinsi utakavyokuja hubiri Injili ya Kristu ninapata raha mpaka basi.

Watu wana misimamo yao..mi nikifikiria tu hili jina MUNGU natetemeka sembuse kumkana live....
 
Aiseee mdomo unaumba ujue pole sana hyo ni matatizo yake tu asikushirikishe
 
Maneno huumba aisee... Nina amini katika hili, nina mfano hai wa mama mmoja wa karibu yangu saaana!

Waliwahi kuwa na ugomvi juu ya watoto, kama mjuavyo watoto wakigombana na wazazi kuingilia ugomvi. Basi huyo mama wa karibu yangu akamwambia mama yule mwingine "Na utaona, na mwanao atakufa" Jaman baada ya siku kadhaa yule mtoto si akafa.. Mchawi wa kwanza kufuatwa ni yule mama wa karibu yangu.

Ile familia ilizunguka kwa waganga mpaka basi ili kumdhuru yule mama, ila kwa kuwa yule mama ahakudhamiria alissali sana na hakuna baya lililompata wakajua kuwa yule mama ni kiboko... Kumbe wala!!

Ila kingine nimeamini huyu mama aliyekaribu yangu mambo mengi anayoniambia huwa kweli na hutokea... Na amekuwa mshauri wangu...

Kwa mujibu wa Pasco nahisi huyu mama atakuwa na Nguvu flani ndani yake!
 
Last edited by a moderator:
Na mjinga alisema 'HAKUNA MUNGU'.

Mjinga kakubalishwa kwamba "mjinga kasema hakuna mungu" kama insurance policy ya kumfanya mjinga, ambaye anaogopa kuitwa mjinga zaidi ya kuwa mjinga, akubali ujinga kwa kuogopa kuitwa mjinga.
 
Yaani huwa nakuona ktk imaginations zangu ukiongoka kama Paulo na jinsi utakavyokuja hubiri Injili ya Kristu ninapata raha mpaka basi.

Injili ya Kristu ni kama maji ya kunywa kwetu, kwa hiyo hakuna chochote kipya utakachoniambia leo ambacho sijakijua tangu nikiwa na miaka saba.

I come from a long line of vicars and theologians.

Tatizo nyie mnaosoma vitabu juu juu ndio mnaweza kuona wokovu katika ujinga.
 
Maneno huumba aisee... Nina amini katika hili, nina mfano hai wa mama mmoja wa karibu yangu saaana!

Waliwahi kuwa na ugomvi juu ya watoto, kama mjuavyo watoto wakigombana na wazazi kuingilia ugomvi. Basi huyo mama wa karibu yangu akamwambia mama yule mwingine "Na utaona, na mwanao atakufa" Jaman baada ya siku kadhaa yule mtoto si akafa.. Mchawi wa kwanza kufuatwa ni yule mama wa karibu yangu.

Ile familia ilizunguka kwa waganga mpaka basi ili kumdhuru yule mama, ila kwa kuwa yule mama ahakudhamiria alissali sana na hakuna baya lililompata wakajua kuwa yule mama ni kiboko... Kumbe wala!!

Ila kingine nimeamini huyu mama aliyekaribu yangu mambo mengi anayoniambia huwa kweli na hutokea... Na amekuwa mshauri wangu...

Kwa mujibu wa Pasco nahisi huyu mama atakuwa na Nguvu flani ndani yake!

huyo mama anaroho ngumu!...dah.
 
Huyu alikuwa mchumba wangu ambaye nilimpenda sana na tulikubaliana kuoana. Nilipatwa na matatizo njiani mwenzangu akanambia anaolewa na mtu mwingine (tulikuwa tunaishi mikoa tofauti). Niliumia sana na kutokana na hasira nikamwambia `Tutaona kama utaishi na huyo mwanaume.' Toka hapo sijawahi kuwasiliana naye tena!

Siku za karibuni alinitumia message kwamba anaomba kuongea na mimi, nikamtajia muda ambao ntakuwa free.
Muda huo akanipigia simu na kuanza kunilaumu `@nyalotsi kwanini umenifanyia hivi?'
Nikamuuliza, nimfenyaje?(huku nikiwa na mshangao)
`Umeniroga kila nikipata mimba inatoka, tafadhali sana nisamehe kama nilikukosea! Familia yangu itavurugika.'

Nilikata simu na kuanza kutafakari mambo mengi sana. Ina maana huyu dada kaniona mi mchawi? Mbona hata mizizi ya dawa za kawaida tu siifahamu? Hii laana gani tena? Baadaye nikakumbuka niliwahi kumtishia kwamba hataishi kwa amani na mumewe. Nikampigia simu na kumhakikishia kwamba siwezi kufanya kitu hiyo na wala sio muumini wa mambo hayo.
Nikamshauri pia waende na mumewe hospitali kufanyiwa uchunguzi wa kiafya na wataalamu.!

Kweli duniani kuna mambo!!

dah aisee,kumbe uchawi upo wa aina nyingi hivi?na wachawi wengine wamo humu humu jf
 
Hiyo ndio nguvu ya shetani inaitwa. Shetani alikuja kuvunja upendo wenu ili wewe umie na yeye aumie. Ukiumia utalaani tu na mwenzio atalaanika. Mwambie akaombewe. Uchawi ni maneno ya kumzuru mtu. Hata ukienda kwa mganga anakuambia sema unachotaka kimtoke. Dua mbaya inaitwa
 
Siwezi kubaliana na kitu ambacho haki-make any sense to me. Ili nikubaliane na kitu make me understand, sio kunitengenezea hofu, i don't get scared easily. Sasa whether nina weak mind au vinginevyo kwa kweli sijui.

Mimi na wewe tunakubaliana kitu waumini wa strong mind kina Kongosho wakija utawasikia

Kongosho hapana labda Kiranga. Kongosho bado hajui anachoamini yuko vuguvugu lkn Kiranga yeye anajua anaposimama. Na siku Mungu akiamua kumtumia (maana huwa anatumia design ya kina kiranga) ataleta tofauti kubwa ktk maisha ya watu.

Ngoja aje umsikie yeye na Kiranga same page
 
Back
Top Bottom