Kuna jamaa wawili walichelewa kurudi makwao, sasa ilipofika usiku mkubwa, ikabidi wakubaliane kuondoka usiku huohuo kwa kupitia njia ya mkato ya maeneo ya makaburini, Walipofika maeneo ya makaburi wakamkuta mtu anakimbizwa na vibaka, ikabidi watumie mbinu ili wale vibaka wasiwadhuru,
JAMAA 1...