YNNAH
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,702
- 969
Kuna Toto lilikosa adabu,baada ya kupata utajiri lilimfuata baba yake na kumwambia,"Baba niambie vyote ulivyotumia kwa ajili yangu ili nikulipe na usinifuate tena." baba akajibu, "wala sihitaji vitu vyote nilivyotumia kwa ajili yako,nipe tu mkeo nimnyonye michuchu kama ulivyomnyonya mke wangu." Toto likakasirika na kuondoka bila kuaga.