Falsafa ya CHADEMA nguvu ya "umma" na wabunge wao 23

Okay, CCM ina Wabunge karibu 300, ina maRaisi wawili, ina Makamu wa Raisi, ina Waziri Mkuu, ina waziri Kiongozi , ina Spika wa Bunge, ina Mawaziri wote, ina Wakuu wote wa Mikoa, ina Wakuu wote wa Wilaya, inawateua Wakuu wote wa vyombo vya Ulinzi na Usalama, inawateua Wakuu wote wa Mashirika ya Umma, inamteua Jaji Mkuu, inateua majaji wote, ina
Mahakama zote, ina magereza yote, inamiliki karibu Viwanja vyote vya Umma vya Michezo, inatoza na kukusanya kodi, inamiliki hata katiba ya sasa, ina.........................

Cha ajabu Chadema ina Wabunge 23 tu, haina Raisi hata moja, haina makamu wa Raisi, haina Waizri Kiongozi, haina Spika, haina Waizri hata moja, haina Mkuu wa Mkoa, haina Mkuu wa Wilaya, haina Mkuu kwenye chombo chochote cha Usalama, haiteui Wakuu wa Mashirika, haimteui Jaji Mkuu, haimteui Jaji hata moja, haiendeshi Mahakama,
haiendeshi Magereza, haimiliki hata kiwanja kimoja cha Umma cha Michezo, haitozi wala kukusanya kodi, inakandamizwa na katiba, haina..........................................

Sasa Mkuu ritz, kwa nini unawaomba wananchi Wananchi kutobabaishwa na kauli zinazotolewa na viongozi wa Chadema kutokana na chama hicho kutokuwa na nguvu ya UMMA ? Hofu yako kwa Chadema inatokana na nini ? Kwa nini Wananchi wakishabikie Chadema,
chama kisichokuwa na chochote cha kuwapa, chama ambacho hakiko madarakani na hivyo kukosa meno ? Woga na hofu yako ritz inatokana na nini huku wewe ndiye umekamata mpini, je unaogopa kuumbuliwa kuwa uko uchi ? (na uko uchi kikwelikweli !)

Asante mkuu nisaidie kumuelimisha huyu anaefikiria kwa kurudi nyuma badala ya kwenda mbele,sasa sijui keshachukua pesa ya kuchafua hali ya hewa himu JF!!?
 
Kafanye utafiti (ili angalau ufiche ujinga wako japo kidogo). Mkapa sio mkatoliki.

Hapo sasa ni nani mjinga? Unanchekesha hata Mkapa hujui kama ni mkatoliki na unajidai umefanya utafiti? Ikiwa watafiti ndio kama wewe, maskini Tanzania yetu. Huna hata haya wala hujui vibaya?
 
Hapana hapana hapana. Hatuwezi kumpa mtu wa namna hiyo, kwa nini tumpe huyo alieoa "mke" wa mtu wakati yupo alie na utitiri wa wanawake-wasiojulikana na wanaojulikana? Yatakuwa maadili gani hayo??? Hatuwezi kuwa wajinga namna hiyo. Na juu ya wote anaheshimu mno dini yake hata kulindwa na majini! Acha bwana, hatuwezi kufanya kamwe ujinga huu!

Pumba hizo, akutukanae hakuchagulii tusi. Ataupinda ukweli na ushahidi. Lakini ukimwambia lete ushahidi kwa uyasemayo, huwa hana. Ndio hayo ya 3 in 1. Hahaaaaa, wanchekesha babu wee. Looo!
 
Kinachoniudhi ni kwamba watu wanamawazo mgando sana. Wanaongozwa na hisia na si sera. Ni ukweli ulio uchi kabisa kwamba nchi yetu iko vibaya na kila siku inayokuja mambo yanazidi kuwa mabaya. Sidhani hili hata kama lahitaji chama flani kuliona. Ni juzi tu kila mmoja amesikia kwamba mgao uliopo sasa ni mkubwa haujawahi tokea. Nataka hawa wanaojiita wanaccm wanieleze gharama za maisha zilizoshuka tokea Kikwete aingie madarakani, pia anieleze ni kwa % ngapi kila kitu kimepanda na je kwa nini hivi vyote viharibike sasa kwa kiwango hicho???
Sasa basi kuandamana hatufanyi hivyo kwasababu CDM wametushawishi ila ni kwamba sababu vita wanayopigana wao ni yetu sote na hatunabudi kuwaunga mikono. Kama yupo wa CCM naye atakayekuja na sababu nzuri ya kumuunga mkono tutajumuika naye.
Huu si wakati wa kuangalia maisha ya mtu fulani ameoa nani maana chama si mtu ni taasisi inayojitegemea na inayoongozwa na katiba.
Tujiunge pamoja kupigania maisha yetu

Unanchekesha, demokrasia? Humo cdm kuna demokrasia? Chama kitoke kwa baba nkwe kije kwa mkazia mwana useme demokrasia? Una nini wewe?
 
Ahaaa!!!,kumbe tatizo lako hapa wewe unaangalia 'udini'na sio 'utendaji'wa kazi kwa kiongozi!Nchi ya Tanzania haina dini Ila watu wake(pamoja na viongozi)wanazo dini zao na historia huwa haifutwi ss kuhusu upandri wa Dkt Slaa ni mambo yanayomhusu yeye(hapaswi kuingiliwa)HAPA TUNAJADILI KWA MASLAHI YA TAIFA(Watanzania wote)lakini hatujadili dini za watu!mbona una akili fupi namna hiyo?Marry Chatanda hakukosea khs nyie vijana wa ccm(njaa itawaua)

Haaeee babu weee, udini? Haswa, ujuwe waislaam ni watendaji wazuri sana. Compare kabla ya mwinyi ilikuwaje? Compare wakati wa mkapa na madudu aliofanya. Sasa Kikwete, haaaa, hamuoni? Au nikutakie machache tu hapa.

1) Skuli babu, tele, kuliko za awamu zote ukichanganya pamoja.

2) Vyuo vikuu babu na intake ya wanafunzi, vingi na intake kubwa kuliko awamu zote ukizichanganya pamoja.

3) Barabara za lami. Nyingi kuliko za awamu zote ukichanganya pamoja.

4) Kufichuwa ufisadi. Hakusemeki, tumeona mpaka mawaziri wakipandishwa vizimbani kuliko awamu zote ukichanganya pamoija.

5) Demokrasia. Leo tunaona upinzani mnaweza hata kubeza na kutukana, kuliko awamu zote zilizopita.

6) Uchumi, leo tunaona umekuwa kuliko awamu zote ukichanganya pamoja.

7) Ajira. Walimu tu, walioajiriwa kipindi cha kikwete ni kushinda ajira zote za serikali zilizotolewa na awamu zote zilizo pita.

8) Usafiri. Leo tunaona hakuna anaepitia Kenya akitaka kwenda mwanza. Na usafiri kila kona. Piki piki, bajaj, mabasi, teksi, ndege, tanzania leo ina ndege nyingi za binafsi kuliko awamu yoyote iliopita.

Bado wataka sema nini wewe? Unashangaza. Leo twaona hata Mbowe akitembelea vogue, subutu awamu zilizopita.
 
Angalia taarifa ya habari ya ITV muda huu uone ccm wenzako wa Arusha wanavyoumbuana, kwamba ni njaa ndio zinawasumbuwa ndio maana mnakubali kutumiwa kama condom ukimaliza kazi yako unaitupa. aibu kweli kweli, kama usipoangalia muda huu jitahidi uangalia ya saa nne usiku. yaani mnatia aibu kwa jamii.

Mods mpo lakini au Pro-Chadema marufuku kupata Ban??????
 
Mods mpo lakini au Pro-Chadema marufuku kupata Ban??????

Wafadhili wakuu wa JF ni chadema. Halina ubishi hilo. Hata watukane vipi, mradi ni mamluki wa mbowe basi huwa ni sahali, wewe mwenzangu na mie. Utaje tu mapungufu ya viongozi wa cdm, wallahi huchukuwi muda, kama hawajaku ban wanaipoteza nyuzi. Lakini hayo tushayajuwa siku nyingi na tunao, hatuwaachi wakafurukuta na siasa zao ubaguzi.
 
we ritz hujui uliko, na ninafikiri elimu yako ni ndogo sana ndo maan huwezi kupambanua mambo,jitahidi upate uelewa wa mambo ya siasa ndio uandike mambo ya maana humu. pia nashindwa kuamini kuwa hujui hali ya taifa letu hivi sasa,kwani inawezekana wewe ni kama siyo fisadi,basi utakuwa una uhusiano na fisadi mmoja mahali. usitetee mambo yaliyo wazi kiasi hicho kaka.
 
Haaeee babu weee, udini? Haswa, ujuwe waislaam ni watendaji wazuri sana. Compare kabla ya mwinyi ilikuwaje? Compare wakati wa mkapa na madudu aliofanya. Sasa Kikwete, haaaa, hamuoni? Au nikutakie machache tu hapa.

1) Skuli babu, tele, kuliko za awamu zote ukichanganya pamoja.

2) Vyuo vikuu babu na intake ya wanafunzi, vingi na intake kubwa kuliko awamu zote ukizichanganya pamoja.

3) Barabara za lami. Nyingi kuliko za awamu zote ukichanganya pamoja.

4) Kufichuwa ufisadi. Hakusemeki, tumeona mpaka mawaziri wakipandishwa vizimbani kuliko awamu zote ukichanganya pamoija.

5) Demokrasia. Leo tunaona upinzani mnaweza hata kubeza na kutukana, kuliko awamu zote zilizopita.

6) Uchumi, leo tunaona umekuwa kuliko awamu zote ukichanganya pamoja.

7) Ajira. Walimu tu, walioajiriwa kipindi cha kikwete ni kushinda ajira zote za serikali zilizotolewa na awamu zote zilizo pita.

8) Usafiri. Leo tunaona hakuna anaepitia Kenya akitaka kwenda mwanza. Na usafiri kila kona. Piki piki, bajaj, mabasi, teksi, ndege, tanzania leo ina ndege nyingi za binafsi kuliko awamu yoyote iliopita.

Bado wataka sema nini wewe? Unashangaza. Leo twaona hata Mbowe akitembelea vogue, subutu awamu zilizopita.

Selective amnesia, watu wengine hata ukweli uwaangalie usoni hawawezi kuuona. Unaona mambo kupitia dirisha la Uislamu na Ukatoliki! At a risk ya kuonekana nabishana, nikuombe ufafanuzi wa baadhi ya mambo - muda hautoshi kukuomba kwa yote uliyoyaweka hapa:


  • Wakati Mwinyi anaingia madarakani linganisha na utuambie Dola moja ya Kimarekani ilikuwa sawa na Shilingi ngapi za Kitanzania, na mfumuko wa bei ulikuwaje? Na wakati anaondoka madarakani ilikuwaje? Mwanzo wa utawala wake Mwinyi budgetary donor dependency ilikuwaje, na wakati anatoka ilkuwaje?
  • Skuli za kata zenye form four illiterate zimejaa nakubaliana na wewe - hazijawahi kutokea awamu yeyote ile (hata Comoro the poorest of the poor hakuna).
  • Nitajie barabara moja tu ya lami ambayo process yake (kuanzia designing, funding, procurement na construction) imeanza na kukamilika wakati wa utawala wa JK.
  • Nakubaliana na wewe, JK ndie aliesimama Mwembe Yanga akawataja mafisadi - akiwemo mwenyewe - na kisha kuwapeleka mahakamani mawaziri wenzie/ wake mwenyewe.
  • Sawa kabisa, uchumi umepanda ndio maana bei za vitu zinapanda kila kukicha.
  • Vogue ilianza kutengenezwa mwaka gani vile? 1961 wakati wa UHURU enh! Au kulikuwa na namna ya mtu kupanda Vogue mwaka 1990?
  • More than 90% ya Wanzazibari ni waislamu - watendaji wazuuri kabisa. Niambie maendeleo yaliyopo huko (au Mtwara/Lindi/Kilifi n.k for that matter).
I rest my case!
 
Haaeee babu weee, udini? Haswa, ujuwe waislaam ni watendaji wazuri sana. Compare kabla ya mwinyi ilikuwaje? Compare wakati wa mkapa na madudu aliofanya. Sasa Kikwete, haaaa, hamuoni? Au nikutakie machache tu hapa.
1) Skuli babu, tele, kuliko za awamu zote ukichanganya pamoja.

2) Vyuo vikuu babu na intake ya wanafunzi, vingi na intake kubwa kuliko awamu zote ukizichanganya pamoja.

3) Barabara za lami. Nyingi kuliko za awamu zote ukichanganya pamoja.

4) Kufichuwa ufisadi. Hakusemeki, tumeona mpaka mawaziri wakipandishwa vizimbani kuliko awamu zote ukichanganya pamoija
5) Demokrasia. Leo tunaona upinzani mnaweza hata kubeza na kutukana, kuliko awamu zote zilizopita.

6) Uchumi, leo tunaona umekuwa kuliko awamu zote ukichanganya pamoja.

7) Ajira. Walimu tu, walioajiriwa kipindi cha kikwete ni kushinda ajira zote za serikali zilizotolewa na awamu zote zilizo pita.
8) Usafiri. Leo tunaona hakuna anaepitia Kenya akitaka kwenda mwanza. Na usafiri kila kona. Piki piki, bajaj, mabasi, teksi, ndege, tanzania leo ina ndege nyingi za binafsi kuliko awamu yoyote iliopita.

Bado wataka sema nini wewe? Unashangaza. Leo twaona hata Mbowe akitembelea vogue, subutu awamu zilizopita.

Haee babu wewe!!!!ni msemo gani huo?au unaleta uswahili wa kina dada kwenye mambo ya msingi.
Haya yote uliyoyataja hapa ni lazima yatekelezwe na Serikali yeyote iliyopo madarakani na sio ombi sababu sisi Wananchi ndio tunalipa kodi(kwa maendeleo yetu)raslimali zilizopo kama madini,bandari,milima,mbuga za wanyama na vingine vingi.Tatizo kodi zetu tunazozilipa Wananchi haziendani na Yale yanayofanywa na Serikali iliyopo
madarakani na Kama ni utendaji basi ni 10%tu,shame on you
 
Huyu jamaa ni hamu naye ya kumnahiiiiii hadi arudishe mshiko wa magamba aliochukua na kuleta upuuzi wake hapa. Mijitu kama hii kule mombasa ni mtaji kweli kweli kwani haina hasaha hata mkilinani hii......
 
kama utakua umkasirika pole sana, lakini ukweli ndio huwo Chadema ina Wabunge halali 23 tu, Wabunge 25 wamepewa na CCM

you seem to be empty upstairs! kama hao wabunge si halali inakuwaje wanaingia bungeni? wewe ni mbumbumbu na wala hujui hata maudhui ya katiba!
 
Matola,pole sana kwa vile waonekana ulikua mfuasi wa nguvu za giza. Mkubwa wenu kaondoka, nanyi mliokuwa mnategemea ulinzi wake usioonekana, cha moto kinawangoja. For sure, you will never be able to think straight
 
Inawezkana kabisaaa, tena tumefundishwa na mapadri. Ambao sasa wanakubali mpaka tuoane kanisani. Heheeee, au unabisha kwa hili? Nashanga!

ni bora ushukuru mapadri kwa kukufundisha na ukapata elimu lakini nashindwa kuelewa kwanini hukufundishwa na masheikh? naomba maelezo yako tafadhali!
 
Bravo!! Nchi haijengwi na maandamano bali inajengwa na uwekezaji kama wa Barrick, ununuzi wa RADAR kwa hyperinflated price, mikataba kama ya RICHMOND na IPTL, ujenzi wa BOT, Mapesa ya EPA.... Malizia mwenyewe...
Njaa Bwana, we acha tu. Naona Chama cha magamba kimejitahidi kumwaga mamluki kibao wa kukitetea humu JF, lakini utetezi wao wote ni upupu na crap tupu kama hizi za thread ya huyo mtembea uchi wa mnyama ritz. CCM bado ina ndoto ya watanzania mbumbumbu, wasio na uwezo wa kuona wala kudadisi mambo kama ilivyokuwa awali. Laiti wangejua aina ya watu inayodeal nao ingeshtuka na kuukumbatia ukweli. Bado wanacheua kufuru za EPA, Richmond, Dowans, Radar, Barrick, na uoza kibao waliovimbiwa nao.
Huyu jamaa anapendekeza kuondolewa wabunge wa kuteuliwa na akuondolewa ruzuku? hivi anadhani mwathirika atakuwa ni nani? Naomba wajaribu kujichanganya na kupitisha muswada wa aina hii ili ifikapo 2015 tuifutilie kabisa CCM na vibaka wao wote. Maana kitakachowamaliza si kupigwa mawe wala silaha yoyote, bali ni utapiamlo mkali ambao vyovyote itakavyokuwa sasa hauepukiki. Haya shime CHADEMA kazeni buti kumalizia ngwe ya kuwaadabisha manyang'au hawa wanaokata roho walaanifu wa Muasisi wao Hayati Baba wa Taifa.
 
WANANCHI wanatakiwa kutobabaishwa na kauli zinazotolewa na viongozi wa Chadema kutokana na chama hicho kutokuwa na nguvu ya UMMA, na badala wajikite zaidi katika kuijenga nchi kwa mshikamano bilia kubagua itikadi za vyama.
Chadema wanatakiwa kushukuru angalau kwa kuambulia majimbo 23 kati ya majimbo 239, sasa wewe umepata majimbo 23 eti unataka upewe nchi aiwezekani kabisa, Watanzania hawa Wabunge wa viti Maalumu wa kupewa 25 ndio wanaleta matatizo yote haya ya Maandamano, Chadema kila mwezi wanapata 300 Milioni, kutokana na hawa Wabunge 25 wa kupewa ni mtaji wa Mandamano ndio maana Wabunge wenye majimbo ni vigumu sana kuona kwenye Maandamano yasio na tija yoyote kwa taifa.
Watanzania wenzangu tunapoteza pesa nyingi kutokana na hawa Wabunge viti maalumu Katiba mpya tupambane tutoe huu upuuzi wa Wabunge viti maalum, Chadema sijui watatoa wapi pesa za Maandamano na nchi yetu ni kubwa sana mpaka uimalize kwa Maandamano na Uchaguzi Mkuu utakuwa umefika, na ndio mwisho wa Chadema, badala wafanye mambo ya msingi wao Maandamano tu kila kikicha nchi aijengwi na Maandamano

Kama aliye madarakani hakupatikana kwa uhakika kwanini kusiwe na mantiki yule anayeamini kashinda asipewe nchi? Kama hujui, na hao wabunge 23 CDM wangepewa nchi kulikuwa na uwezekano wa raisi (huyo wa wabunge 23) kuvunja bunge na kuitisha uchaguzi mpya wa Haki ndio ungeona anawezaje kuendesha nchi.... pitia katiba....na Kuna mfano mzuri tu Malawi wakati Binguwamutharika alipochukua nchi alivunja bunge na kutengeneza nchi upya.
 
Haaeee babu weee, udini? Haswa, ujuwe waislaam ni watendaji wazuri sana. Compare kabla ya mwinyi ilikuwaje? Compare wakati wa mkapa na madudu aliofanya. Sasa Kikwete, haaaa, hamuoni? Au nikutakie machache tu hapa.

1) Skuli babu, tele, kuliko za awamu zote ukichanganya pamoja.

2) Vyuo vikuu babu na intake ya wanafunzi, vingi na intake kubwa kuliko awamu zote ukizichanganya pamoja.

3) Barabara za lami. Nyingi kuliko za awamu zote ukichanganya pamoja.

4) Kufichuwa ufisadi. Hakusemeki, tumeona mpaka mawaziri wakipandishwa vizimbani kuliko awamu zote ukichanganya pamoija.

5) Demokrasia. Leo tunaona upinzani mnaweza hata kubeza na kutukana, kuliko awamu zote zilizopita.

6) Uchumi, leo tunaona umekuwa kuliko awamu zote ukichanganya pamoja.

7) Ajira. Walimu tu, walioajiriwa kipindi cha kikwete ni kushinda ajira zote za serikali zilizotolewa na awamu zote zilizo pita.

8) Usafiri. Leo tunaona hakuna anaepitia Kenya akitaka kwenda mwanza. Na usafiri kila kona. Piki piki, bajaj, mabasi, teksi, ndege, tanzania leo ina ndege nyingi za binafsi kuliko awamu yoyote iliopita.

Bado wataka sema nini wewe? Unashangaza. Leo twaona hata Mbowe akitembelea vogue, subutu awamu zilizopita.

unaropoka tu we mla urojo, hujui hata kupambanua wala kutafiti mambo, acha ushabiki wa itikadi yako bila kutumia akili, toa hoja zenye mashiko, elimu uliyonayo usichanganye na ile uliyopata kuleee... kwenye nyota na mwezi! utachanganyikiwaa! kila jambo lina uwanja wake bibie. just be honest,niambie uwezo wa ku afford bidhaa mbalimbali kwenye awamu hii ya jk na ile ya mkapa ipi ni afadhali? sahau hijab uliyovaa and be honest please!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom