Recent content by gaseba

  1. G

    Baby simu yangu imeharibika

    maana yake ununue nzuri kuliko ile aliyinayo, simple. mbona mnashindwa kuelewa. wanaume wengine akili mgando kweli. huna Jena acha kutongoza watu, we vepeeee
  2. G

    Mtoto wangu hafanani na mimi kabisa, anafanana na mtu anayefanya kazi na mke wangu ofisi moja

    Shwetani anavizia ndoa yako, shikilia amani uliyonayo.
  3. G

    Naombeni ushauri

    usikate tamaa Mdogo, pull up ur socks , u can it
  4. G

    Nikisoma technician certificate in community health naweza fanya kazi gani?

    chuo gani hiyo kozi inasomwa? l wish to know more about it
  5. G

    Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

    Tabia ya kukatisha tamaa ya kutoa pesa kwa wapenzi wenu humu MMU ife kabsa. narudia tena muache kbs, na mkome
  6. G

    Hizi tabia zikome huku MMU haraka

    safi sana.....! tena mkome mkome kbs. na mtoe pesa kwa wapenzi wenu cc tule khaaaaa
  7. G

    Lugha ya kiingreza katika kufundishia darasani

    tunaitumia coz cc ni watumwa wa wazungu
  8. G

    Huyu mwanamke ataniua jamani

    kama hali yenyewe ndo hiyo, kushare ruksa
  9. G

    Natafuta mwanamke mwenye maumbile makubwa

    jaman jamani jf.
  10. G

    Nina tafuta mke Mkristo safi

    kwa hiyo na binti anatakiwa kuw bikra?
  11. G

    CHADEMA 'Lowassa siyo fisadi', CCM 'Lowassa ni fisadi'

    mh! mi napitu tu jmn.
Back
Top Bottom