Mambo vipi wanajf, Nimekuwa na utamaduni daily lazima nicheck matangazo ya ajira utumishi. Mategemeo yangu nitakuta update zozote cha kushangaza hata tangazo la watu kuitwa job la May bado lipo wakati tupo mwezi june unaoishia. Website yao ipo too static hamna update zozote. Average watu...
ukweli utabaki ukweli tu, kwa kweli tanzania yetu imeoza yaani kama humjui m2 kupata kazi ni ishu sana. Nawashauri ni bora nguvu zenu nyingi izitupie kwenye ma ngo, maresearch yanayoendeshwa na wazungu maana wazungu hawana fitina kama ngozi nyeusi kama mkali utapata kazi bila zengwe.
Kweli aliyeshiba hamjui mtu mwenye njaa, hata siku moja no peace in golden table, watu wanakula na kusaza wengine hawajui kesho yake. Ugumu wa maisha ndo chanzo cha yote! kila kitu dar kwani mikoa mingine watu hawaishi.
Ndugu wana jamvi natumaini wote wazima wa afya. Nimeonelea leo niwape mbinu za kujiajiri, jaribu hii bahati utaona mafanikio yake. Fungua attachment inaeleza vizuri soma vizuri utaona mabadiliko katika maisha yako.
Siku njema!
There is a Need
Does school prepare children for the real world? "Study hard and get good grades and you will find a high-paying job with great benefits," my parents used to say. Their goal in life was to provide a college education for my older sister and me, so that we would have the greatest...
Mtoa hoja hajafanya utafiti, mimi nipo mikoani na nilishawahi kuhudhulia interview ilikuwa Halmashauri ya wilaya ya kilolo, yaani ni mbali sana kutoka iringa mjini usafiri wenyewe ni malori mtu unafika kwenye interview umejaa vumbi cha kushangaza nilivyofika nikaona mtu nyomi. Nikapata marafiki...
Hamna chuki zozote, watu wanapenda amani ila wachache wanaipoteza na bado mpaka sasa kesi zake hazijatolewa maamuzi. Je tuendelee kupongezana wakati maafa yanaendelea kila kukicha? Tayari matukio mengi yametokea kipindi kifupi sana unategemea kesho kitatokea nini kama unataka tupongezana wakati...
Kazi nyingine za kuajiriwa sio zenyewe yaani aheri m2 upike maandazi uuze maana kila siku unaomba advance kwa muhindi mwisho wa mwezi ukifika hata hela ya kula huna. Nauli ndo usiseme yaani unaweza kupiga mguu mpaka soli inaisha uwezo wa kununua viatu huna. Unajua wakati mwingine visomo vyetu...
kuacha kazi kupo kwa haina mbili, unaweza kutoa notes ya 24 hrs ambapo utatakiwa kumlipa mwajiri mshahara wako wa mwezi au notes ya mwezi ambapo uta2mikia bure bila ya kulipwa. Chagua mwenyewe
Unajua swala la kujiajiri zuri sana nami naunga mkono, nilishajaribu kujiajiri nikafunga kuku wa mayai 800 tatizo likatokea ugonjwa wa typhoid yaani kila nikiwapa dawa wapi, kumbe madawa feki. Mambo kama haya yanaua ujasiliamali, yapo mengi napata kwa wafanyabiashara nitayaweka wazi ili iwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.