Mtoto aliye jeruhiwa na Bomu Afariki leo

Mtoto aliye jeruhiwa na Bomu Afariki leo

R.I.P mtoto
Mungu akupe pumziko la amani
 
Makamanda mtoto mwingene afariki leo alijeruhiwa na bomu mungu aiweke roho yake pema peponi na katibu wa mbunge yuko I.c.u hali yake mbaya cna mh gabu anahali.mbaya cna tumwombeeni jamani tanzania inatakuwa somalia jmni mungu ibariki chadema mungu ibarki tanzania ccm na chadema zote zinapita tu vyama vya siasa zinapita tu tujali ubinadamu vyama vinapita tu tujenge mshkamano na upendo jmni r.i.p makamanda wetu siasa sio uwadui jamani viongozi wa dini iombeeni nchi yetu jamani inaelekea pabaya cna waislaam na wakristo ombeeni taifa hli jamani kesho ndyo tunawaaga miili ya marehemu uwanja wa soweto njooni tuwasindikize makamanda wetu
Shame on you MWIGULU!!
 
Ujio wa chadema umeleta ghasia vifo watu kuchukiana maandamano ujambazi mauaji vitisho kutekwa watu kuishi kwa hofu kubaguana kwa dini na kabila bunge lisilo na nidhamu .......
wewe inaelekea mgeni Tanzania.na kama una uraia basi wa kuomba.1995 ilikua NCCR
2000 CUF
2005 CHADEMA
2010 CHADEMA
huhitaji elimu ya chuo kikuu kuona hili.ccm ndiyo wenye matatizo.wameua mpaka mwl nyr kwaajili ya ulafi??!! itakua wafuasi wa chadema?%&@%@*&
 
Ee Mwenyezi Mungu uipokee roho ya kiumbe wako na uwajaze nguvu na moyo wa uvumilivu wale wote waliodhirika na janga hili.
 
Mungu ampumzishe kwa Amani.

Kwa mwananchi wa kawaida akisikia neno CHADEMA akilini mwake inakuja taswira ya vita na machafuko.

CHADEMA ilaaniwe.
Unafki mbaya sana...ila kila mtu atakufa mzee awe ccm au chadema...mungu hataniwi
 
Nilipomuona Nape kwenye TV akiongea utumbo nilipatwa kichefuchefu. Sijui kama ni bangi au nini, mtu mwenye akili timamu hawezi kufanya mambo haya akaendelea kuonyesha uso wake hadharani. Aliyemuua padre hajakamatwa, aliyemkosakosa padre hajakamatwa, aliyemuua Ulimboka kajakamatwa, aliyemwua Kibanda hajakamatwa, waliochoma makanisa Tanga hawajakamatwa. Intelijensia?? THE HAGUE IS CALLING.

mkuu kibanda na ulimboka wameuwawa lini? punguza munkari,rekebisha hapo,ila kama we ni izirael mtoa roho paache hvyhvy
 
Mungu ampumzishe kwa Amani.

Kwa mwananchi wa kawaida akisikia neno CHADEMA akilini mwake inakuja taswira ya vita na machafuko.

CHADEMA ilaaniwe.

Ungekuwa karibu ningekupiga ngumi. Ipo Siku tutazichapa kavu kavu!
 
Jamani inasikitisha sana, inatia huzuni. Mtoto asiyekua na hatia amefariki. Hizi damu zinazomwagika bila hatia zitawalilia wengi. Ee Mwenyezi Mungu uishie mahali patakatifu, tuhurumie na utuepushe na hii vita. Walaze mahali pema marehemu wote.AMINA
 
[h=2]Thursday, June 20, 2013[/h]
Mtoto Fahad Jamal alipotembelewa na Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk Emmanuel Nchimbi kwenye chumba cha ICU siku chache zilizopita.Mtoto Fahad Jamal (7) ambaye hali yake ilikuwa mbaya na kulazwa chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi
maalumu (ICU) katika Hospitali ya Selian kufuatia kujeruhiwa na bomu katika mkutano wa Chadema Arusha Amefariki dunia


Posted by King Jofa at 9:08 AM



 
Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi~AMEN
 
Wana waruhusu wanini hawa jamaa wanafiki, Pinda si kaisha sema hii ndiyo zawadi ya wakahidi.
 
Rest in peace ,damu yako haijapotea bure
 
Inatia huruma sana. Mtoto mwenye umri wa miaka saba anauawa kwa bomu! Yaliyomuua yapo pembeni yanachekelea! Mungu wa haki lazima awaumbue wote waliofanya upuuzi huu! Hatuwezi kunyamaza sasa, lazima tuchukue hatua hatua sasa kwa kusema IMETOSHA. Tanzania yetu lazima irejee kwenye misingi tuliyoachiwa na waasisi wetu,

R.I.P bwana mdogo. Umetangulia, sisi tu nyuma yako!
 
Hivi kweli Mh. Pinda unataka kutuaminisha kuwa huyu mtoto wa miaka 7 alistahili kupoteza maisha sababu ya ukaidi? Maranyingine muwe mnaangalia maneno ya kuongea. Sasa ndugu na jamaa wa huyu mtoto wataweza kuipenda serikali tena? Mungu amlaze mahali pema peponi huyu malaika. AMEN
 
Jaman na yule aliesema alipigwa risasi na polic namwonea huruma coz wanaweza kumtanguliza kama walivyomtanguliza Nyerere
 
Back
Top Bottom