bornagain
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 3,383
- 1,360
Wewe bornagain ni muongo tena mchonganishi, na inawezekana una-chuki binafsi.
Hata uluchokiandika hapa juu unadanganya watu bila aibu. Muogope Mungu kwa kudanganya na kujidai unaifahamu TANAPA na kuisema mabaya na kuichafua. Udhibitisho wa wazi wazi kuwa wewe ni Muongo ni kuweka mapori ya akiba chini ya TANAPA. TANAPA haijawahi simamia mapori ya akiba (game reserves) hata siku moja.
Kajipange upya uje na hoja nyingine ya kujifanya wewe ulikuwa mtumishi wa TANAPA. Kafie mbali kwa uongo wako. PUMB..FU
Ndugu yangu wewe kwa kuwa upo ndani ya TANAPA basi unaitetea kama vile TANAPA ni baba yako ama mama yako,lakini ukweli ndiyo huo TANAPA 95% ya employees wa TANAPA wanapatikana kupitia vimemo.Tena nakuambia wewe ndiyo umuogope Mungu kwa kusimamia uongo mchana kweupe.Nataka unijibu kama kweli wewe mfanyakazi wa TANAPA ni mkweli hivi kwa nini mwaka jana nafasi zilizotangazwa mliwaita watu kuja kufanyia usaili University of Dar wakati TANAPA ipo Arusha kama siyo kutafuta perdiem ni nini.
Kwa nini kama nyie ni shirika makini mfano nafasi za Accountants zilikuwa 3 then mkashortlist watu 557 nadhani ni wote walioomba mliwachagua,kama siyo kupoteza muda wa watu ni nini hasa kazi ya HR si kufanya shortlist angalau kupata hata watu wa kuita kwenye interview na siyo wote.Mnatumia janja ya nyani eti muonekane kuwa ni an equal employer kwa kuwaita wote kumbe ni ushuzi tu mnawataabisha watoto wa watu.
Usushupalie ndugu yangu kwa kuwa unakula keki ya TANAPA kesho unaweza usiwepo hapo kwenye hiyo nafasi uliyopo then ukaona hata jasho ulilotumia kuitetea TANAPA ungelipeleka kwenye mashamba ya chai King'ori kuliko TANAPA.By the way usitokwe na mapovu ukaona kama TANAPA yako inaonewa sana ndiyo system ya taasisi za serikali maana baada ya mimi kuhama TANAPA nilitumia kibahasha kuhamia taasisi nyingine ya serikali,lakini alienisaidia ni mtu wa TANAPA alietaka nafasi yangu kwa udi na uvumba