Uchunguzi wa BOMU ARUSHA jionee mwenyewe

Uchunguzi wa BOMU ARUSHA jionee mwenyewe

duchi; Naona ngonjera mliyokaririshwa na Nape mnaimba popote.Angalieni msije kugeuka vichwa vya kuku hatimaye mkawa hambebi fikra pevu.Mbona hamjiulizi aliyesema wana Arusha wakiikataa CCM watakufa na wamekufa kweli hamtaki kumsema? Mbona waliosema watahakikisha CHADEMA kinasambaratika kabla ya 2014 kwa gharama yoyote hamtaki kuwajadili? Mbona hata huyo kaka yenu Nape amekaririwa akisema CCM itatawala milele, kwa misingi gani?
 
Last edited by a moderator:
Mrusha bomu awe polisi wa tanzania? Hainiingii, awe mwana ccm, anataka kuua wanachadema ambamo hana uhakika kama kuna ndugu zake? Hainingii pia.. Imani kali za kidini, au waasi wa M23, kwangu ni Yes!!
Vilaza mpo wengi! Ukweli upo unajulikana hacha kupindisha.
 
Ipo siku watatoa hesabu ya makosa yao hapa duniani na siku ya kiama vilevile.
 
Je ni kiongozi chama kipi alisema watahakikisha nchi haitatawalika? je ni kiongozi wa chama kipi alisema wanahakikisha arusha watashinda kwa gharama yoyote? hiyo ni "circumstantial evidence" kuwa mauaji yote ya arusha yanapangwa na chadema ili watu waichukie serikali yao. Kumbuka kesi ya kupanga njama za mauaji iko mahakamani.

Naona watu mnashupaa na STM ya kuwa inchi haitatawalika hamjui kuwa its common sense ni shida kuongoza watu ambao toka mioyoni mwao hawakukuchagua.Refer JK alivyokuwa anaapishwa usoni alionekana kukosa amani as if ni ndoto kwake kuwa Raisi wa Tz.Imagine unaingia ngwe ya kwanza na 82% ya ushindi ngwe ya pili 62% ata ungekuwa wewe lazima ungetahamaki!
Na ni sehemu nyingi Tz chama tawala kilishinda kwa hila/chakachua KURA ie thus creating chuki dhidi ya watawala
Chukua mfano mdogo tuu wa jinsi Class monitor ambaye hakuchaguliwa bali amekuwa imposed na walimu.
 
Nahis dada Judith alipigwa risasi baada ya kumwona aliyerusha bomu

Hizi ni simulizi za mtaani,kuna mtu kanambia ya kuwa huyo Judith alitamka kuwa alierusha bomu ni yule na hapohapo wazee wa kitu chenye ncha kali wakamlipua.Mengi yatasemwa ila yetu macho.
 
Je ni kiongozi chama kipi alisema watahakikisha nchi haitatawalika? je ni kiongozi wa chama kipi alisema wanahakikisha arusha watashinda kwa gharama yoyote? hiyo ni "circumstantial evidence" kuwa mauaji yote ya arusha yanapangwa na chadema ili watu waichukie serikali yao. Kumbuka kesi ya kupanga njama za mauaji iko mahakamani.

Akili yenye mpasuko mithili ya ule uliopo katikati ya masaburi.
 
Mrusha bomu awe polisi wa tanzania? Hainiingii, awe mwana ccm, anataka kuua wanachadema ambamo hana uhakika kama kuna ndugu zake? Hainingii pia.. Imani kali za kidini, au waasi wa M23, kwangu ni Yes!!

rejea aliyemuua mwangosi alikuwa ni askari polisi kwa maagizo ya mkuu wake Kamuhanda, ambae nae alitekeleza kwa maagizo ya Said Mwema, then Said Mwema katumwa nani?????? Janga Kuu la taifa!!! mwenye machoo haambiwi tazama
 
Jamani tumechoka, CHADEMA tuachieni Tanzania yetu, mtatuua mpaka lini? kwanini mnapenda kutumia damu za watu kujitafutia umaarufu? Kuna maswali mendi yakujiliza hapa.
1. Mkuu wa Usalama wa CHADEMA Mhe. Rwakatare amerudi uraiani. Yeye ndiye tegemezi wa kutunga na kutekeleza mipango ya kigaidi ili watu wasimphasize nao ili wapate umaarufu wa kisiasa.
2. CHADEMA lazima watakuwa wamejilipua. Dhamira ziko mbili. Ya kwanza ni baada ya kuona kuwa Arusha hawatashinda uchaguzi wa Madiwani, wameona wafanye kujilipua ili uchaguzi usifanyike. Mkumbuke kuwa katika chaguzi za Kata 22 CHADEMA wamepata tano tu!! Huku ni kushindwa kwa hiyo kitu M4C...aibu.
3. Wanaona ujio wa OBAMA utaipa sifa Serikali ya JK na CCM, dawa ni kuchafua hali ya hewa ili kuharibu sifa hiyo, ipo kila sababu ya wao kujilipua ili watengeneze political agenda. These are calculated moves, wasiingie Bungeni na Wavamie pale Soweto ili waichokoze Serikali, wapigwe mabomu halafu watengeneza headlines. Cheap Politics.
 
Nineikuta Facebook kwa Shabiki wa CHADEMA na alichokuwa ameandika hapo chini je hii ni kweli au kaweka chumvi

Kutenga mil 100 eti zawadi kwa atakaye mtaja mhusika wa bomu la Arusha sio tu kutufanyia dhihaka wafiwa bali pia ni kuchezea kodi zetu.

Picha zinaonyesha wanajeshi wakikagua tundu la risasi kwenye tank la mafuta la gari la CHADEMA, ambalo lilikuwa likitumika kama jukwaa.
Tank lilipigwa risasi ili lilipuke na kila aliyekuwa jukwaani asingepona. MUNGU YUPO NASI , HALIKULIPIKA. maganda ya risasi yanaonyesha niya bunduki aina ya SMG, Je ni kina nani wanamilik SMG Tanzania??, Yaonyesha bomu halikufika kwenye "target" ,ikabidi watumie risasi za moto.
Wasizunguke msitu, wasituchezee shele... waanze na hao wamiliki wa SMG.







Kutenga fedha hizo ni seriousness ya Serikali katika kupata information. Nchi nyingi zinatumia utaratibu huu. Lakini nasikitishwa na mwenzangu huyu junzi alivyo kilaza katika kufanya anasysis. Au mtu akisema Mtoto alisema kuwa aliyempiga risasi ni askari...hayo ni maneneo ya kulishwa na magazeti. Yapo magazeti yanayo pandikiza chuki like Mwananchi, Tanzania Daima, Nipashe na sasa Mtanzania
 
Naona watu mnashupaa na STM ya kuwa inchi haitatawalika hamjui kuwa its common sense ni shida kuongoza watu ambao toka mioyoni mwao hawakukuchagua.Refer JK alivyokuwa anaapishwa usoni alionekana kukosa amani as if ni ndoto kwake kuwa Raisi wa Tz.Imagine unaingia ngwe ya kwanza na 82% ya ushindi ngwe ya pili 62% ata ungekuwa wewe lazima ungetahamaki!
Na ni sehemu nyingi Tz chama tawala kilishinda kwa hila/chakachua KURA ie thus creating chuki dhidi ya watawala
Chukua mfano mdogo tuu wa jinsi Class monitor ambaye hakuchaguliwa bali amekuwa imposed na walimu.

Aisee huyu njowepo kweli MTUPU haonii na wala hajitambui. Sasa CCM katika chaguzi inashindana na vyama karibu 10, wote hawataki CCM ishinde, sasa kila Chama kina Wakala wake ndani ya chumba cha kura, sasa kama CCM wanaiba na kuwaibia wote wale 10 huku mawakala wale wakiwepo, sasa basi vyama hivyo na watu wake hawafai kupewa nchi, maana wanashindwa kumdhibiiti mtu mmoja? Tumia akili wewe NJOWEPO
 
duchi; Naona ngonjera mliyokaririshwa na Nape mnaimba popote.Angalieni msije kugeuka vichwa vya kuku hatimaye mkawa hambebi fikra pevu.Mbona hamjiulizi aliyesema wana Arusha wakiikataa CCM watakufa na wamekufa kweli hamtaki kumsema? Mbona waliosema watahakikisha CHADEMA kinasambaratika kabla ya 2014 kwa gharama yoyote hamtaki kuwajadili? Mbona hata huyo kaka yenu Nape amekaririwa akisema CCM itatawala milele, kwa misingi gani?

Hayo ya kwako ni ya kutunga. Wadanganye watu wa Arusha wanaoswaga kama kondoo
 
pumbaa kabisa,nilichogundua hapa mtu mmoja sijui ameajiriwa na chadema? ana majina mbalimbali lakini ni huyohuyo hana logic kazi yake ni kutukana kila anayepingana na chadema.huyu jamaa labda hana kazi au kaajiriwa na chadema kufanya hayo
Savimbi-Mwigulu nchemba+Kone Nape nnauye!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
mrusha bomu awe polisi wa tanzania? Hainiingii, awe mwana ccm, anataka kuua wanachadema ambamo hana uhakika kama kuna ndugu zake? Hainingii pia.. Imani kali za kidini, au waasi wa m23, kwangu ni yes!!

ubongo wako unawaza dini tu mda wote okay ndiyo mwisho wako wakufikiri ulipo kwamia!?
Chuki za kidini peleka kwenye familia yako hatuna mda wa kukuelewa !

 
Ni hizi hizi siasa au kuna mengine? Tunajua kitu tunachofanya kweli? Where are the wise people to guide us about where we want to go?
 
Very unfortunate, huyu Administrator yeye anataka kuona maoni ya CHADEMA tu post zetu mnzitoa, sasa kwanini hamtoi nafasi ya fikra mbadala, mnataka mambo yenu ya CHADEMA tu?
 
huku manchira serengeti mbunge kebwe na amina makilagi walikuwa wanatteka nyara wananchi wasipige kura hii nayo bado hujaipata chagonja
 
Back
Top Bottom