recruitment agencies

recruitment agencies

Ok powa kabisa hapo sasa nimekuelewa vizuri, ila kwa masomo yako mbona ilibidi upate kazi straight sidhani kama wangekuchelewesha au laah, also masomo yako unaweza kufanya kazi nyingi, sasa vile vile usitegemee tu agency the same time kama unapata nafasi pia nenda hata kwenye maoffice na acha CV yako huko, unaweza kuona kama unapoteza muda ila utafanikiwa tu trust me, na final year grades zako ulipata nzuri??
aisee bado mnaamini kwenye max??all in all kama huna wa kukushika mkono lazima uhangaike sana alama hazisaidii watu wana mifirst class na tunagana nao benchi kitaa mpaka tunauliza kwa nini/??
mijitu ina mipass kila mwaka sup hakosi kuwa nazo tatu na yupo kitengoooo mkwanja mnene na kicelica chake anatesa nacho mtaaani.
 
mbona naona kama these agencies are not helpful jamani, mtu unasambaza CV kote ila none of them hata kuita kwenye interview does it mean mimi sina kigezo hata kimoja katika hizo kazi wanazoletewa au ni nini? yaani sijui maana ya kusoma sasa,ukiwa fresh graduate bila expirience you are in trouble. tunafundisha nini wadogo zetu na hii hali.:angry:

Pole. embu jaribu na hizi kama una sifa Eclof Tanzania
 
fikiria akujiajiri bibie, usingojee kutegemea kuajiriwa,
nimesoma computer scs and i have my own company now
vitu vya kufanya vya IT hata kama ukiwa kama solo ni vingi sana


nimsoma computer science na CV am 100% sure nimeandika vizuri na kwa msaada wa some people I know wanaiterview watu, so I believe its perfect written
 
nimsoma computer science na CV am 100% sure nimeandika vizuri na kwa msaada wa some people I know wanaiterview watu, so I believe its perfect written

"nimsoma computer science na
CV am 100% sure nimeandika
vizuri na kwa msaada wa
some people I know
(wanaiterview) watu, so I
believe its (perfect) written"
.
.
..
.

naomba ukafanye review ya English iliyotumika kwenye CV yako...maana hapa naona kuna matatizo fulani...minor things can act as hinderances ya wewe kupata job Lady Unbreakable
 
Last edited by a moderator:
aliyetengenez bulb alijaribu mara 10000. endelea kujaribu.unonaonaje na kujiari? ulishawai kujiuliza anayechoma gunia la mahindi anapata tsh ngapi daily? na nayeuza matunda kwenye toroli? je anayeuza weza (MFANO TU), na wengi wengineo. <start small and grow big>
 
aliyetengenez bulb alijaribu mara 10000. endelea kujaribu.unonaonaje na kujiari? ulishawai kujiuliza anayechoma gunia la mahindi anapata tsh ngapi daily? na nayeuza matunda kwenye toroli? je anayeuza weza (MFANO TU), na wengi wengineo. <start small and grow big>
real talk.. asante sana
 
"nimsoma computer science na
CV am 100% sure nimeandika
vizuri na kwa msaada wa
some people I know
(wanaiterview) watu, so I
believe its (perfect) written"
.
.
..
.

naomba ukafanye review ya English iliyotumika kwenye CV yako...maana hapa naona kuna matatizo fulani...minor things can act as hinderances ya wewe kupata job Lady Unbreakable
Its a typing error,my bad. I was writing this in a hurry.
 
aisee bado mnaamini kwenye max??all in all kama huna wa kukushika mkono lazima uhangaike sana alama hazisaidii watu wana mifirst class na tunagana nao benchi kitaa mpaka tunauliza kwa nini/??
mijitu ina mipass kila mwaka sup hakosi kuwa nazo tatu na yupo kitengoooo mkwanja mnene na kicelica chake anatesa nacho mtaaani.
Sema wewe kiazi, nikisema mimi muhogo nitaambiwa nina mizizi. Kwa kweli max zetu dunia ya leo ni kigezo cha mwisho kabisa kwa sababu ya kujuana. MARA NYINGI, ITS ABOUT WHO YOU KNOW
 
aliyetengenez bulb alijaribu mara 10000. endelea kujaribu.unonaonaje na kujiari? ulishawai kujiuliza anayechoma gunia la mahindi anapata tsh ngapi daily? na nayeuza matunda kwenye toroli? je anayeuza weza (MFANO TU), na wengi wengineo. <start small and grow big>

Kweli. Ila kusoma na status nyngne wakti mwngne huathiri baadhi ya watu ktk kufikiri na kuanzisha baadhi ya mambo. Hili la kusoma lina mashiko maana ukichukulia usomaji wenyewe ulivyokuwa wa shida; hivyo baadhi ya ndugu na wadogo zako huweza kupunguza ari za kusoma kwa kuona ulitumia rasilimali nyingi kusoma ukiwemo muda, na sasa unafanya kazi ambazo ungeweza kuzifanya kitaalamu hata kwa training ya kama mwaka tu.... Binafsi nasema tuendelee kuthamini elimu na tuwe wabunifu kutokana na maisha tuliyonayo. Naukubali uwasilishaji wako mkuu rolla! ajaribu zaidi na zaidi, na kama hajawahi kufikiri kujiajiri ndio umempa tafakari hiyo kadri ya uwezo wake..
 
mungu atusaidie sisi tusiokuwa na kazi.
 
nimsoma computer science na CV am 100% sure nimeandika vizuri na kwa msaada wa some people I know wanaiterview watu, so I believe its perfect written

Niko mbioni kuanzisha Tanzania Hackers forum ili watu wa IT waweze kujipatia fedha kwa njia ya ubongo.
 
nimsoma computer science na cv am 100% sure nimeandika vizuri na kwa msaada wa some people i know wanaiterview watu, so i believe its perfect written

niko mbioni kuandaa tanzania hackers forum itawasaidia kupata fedha kwa ubongo kwa watu wa it
 
kazi siku hizi ni ful kujuana my dia,ila uckate tamaa,endelea kupambana,sisi wengine tumeshaamua kujiajiri...
 
Kazi za bongo kujuana, unapost cv kila kona lakini hakuna majibu..tuendelee kukaza ila tumtangulize mungu wetu mbele
 
Back
Top Bottom