Nijuavyo mm wingi wa mapadri au maaskofu hata mashehe msibani kamwe hautabadilisha hukumu ya Mungu ...kwa hiyo ndugu zangu tutende yalio mema ili kifo chetu kiwe furaha kwa malaika mbinguni bila kujali umefanyiwa ibada ya mazishi na nani..Mungu awabariki wote
Kitu pekee kinacho baki kutuunganisha wa watanzania sasa ni soka...siasa zimeshindwa ..dini moto mkali..makabila ndo kabisa..
Team Taifa Starz you will never walk alone
Ndugu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.