Recent content by gamber

  1. G

    SABATO SABATO SABATO wanafunzi 8 wa teku wafukuzwa baada ya kukaidi kufanya mtihani jumamosi!

    Yesu hakuja kutengua torati ya Mussa bali kuitimilza..na imeandikwa ole wake atakakae ondoa neno lolote ndani ya bibla Ufunuo 22:19
  2. G

    Viongozi wakuu roman catholic mnalijua hili ?

    Nijuavyo mm wingi wa mapadri au maaskofu hata mashehe msibani kamwe hautabadilisha hukumu ya Mungu ...kwa hiyo ndugu zangu tutende yalio mema ili kifo chetu kiwe furaha kwa malaika mbinguni bila kujali umefanyiwa ibada ya mazishi na nani..Mungu awabariki wote
  3. G

    Mpokea hundi wa CRDB Holland House anadharau sana

    Acha uzushi wewe,kama umempenda funguka
  4. G

    Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV

    Kanda ya ziwa alikuepo Dominic Chilambo
  5. G

    TANZIA : Mmiliki wa Masai pub na Meridian afariki dunia

    May the comfort of God help you in difficult times. Lukumays family
  6. G

    Live Updates: Tanzania Vs Ivory Coast – World Cup Qualification 2014, June 16, 2013

    Kitu pekee kinacho baki kutuunganisha wa watanzania sasa ni soka...siasa zimeshindwa ..dini moto mkali..makabila ndo kabisa.. Team Taifa Starz you will never walk alone Ndugu
  7. G

    Mtikila ashinda kesi ya 'ugombea huru' Mahakama ya Haki za Binadamu Africa

    Napenda the way jamaa anavyopigania haki ...japo kuwa huwa inacheleweshwa lakini mwisho wa siku anaipuka kidedea bila kumwaga damu Ndugu
  8. G

    hii kazi nisipo acha jela inanita,ushauri please

    kaka haya ndo majaribu kwa walimu nA wengi wameingia mtegoni...waogope kaka ukoma watoto hawa JELA inakuita ukifanya mchezo Ndugu
  9. G

    Live: Baadhi ya mambo muhimu yaliyomo ndani ya rasimu ya katiba mpya

    Bonge ya rasimu ....vp kuhusu wakuu wa mikoa na walaya ? Watabakia na kama ndio watapatikanae ? Manake hawa nao ni mzigo tosha Ndugu
  10. G

    FIFA FRIEND MATCH SUDAN vs TAIFA STARS

    Mazoezi Mazuri ...safari njema to Morocco Ndugu
  11. G

    mapenzi siku ya kwanza.

    Wengi hawajui wanataka nn...kazi ipo Ndugu
  12. G

    Je ni sahihi kwa Tanzania kuendelea kuwakilishwa na mashombe shombe Big Brother Africa??

    Haina shida ili mradi ni raia wa nchii hii Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Back
Top Bottom