Recent content by Gairo1

  1. G

    Suala la ESCROW, Ikulu yabanwa zaidi

    Hadithi ya Sungura na sizitaki mbichi hizi!.
  2. G

    Top 4 richest people in Tanzania 2014

    Wewe unayeendekeza majungu hata USD umeshaitia machoni?. Hata aibu huna eti kaongeza USD 10M tu!, wewe unazo hata 0.0001 ya fedha hiyo?, acheni majungu ya kike!.
  3. G

    Huyu ndiye fisadi hatari zaidi

    Mimi nawashangaa ninyi mnao mjadili mtoa Mada, huyo hawezi jibu chochote kwa kuwa hiyo taarifa amepewa tu aiweke hapa jamvini hana analolijua. Mada hii imekopiwa toka kwenye hotuba ya fisadi Rostam Aziz aliyokuwa anamjibu Bw. Region and Mengi, kama kuna mtu anaweza kui upload hutuba hiyo...
  4. G

    Huyu ndiye fisadi hatari zaidi

    Kwani U Dr. Kikwete kausomea wapi, Mzindakaya naye ni Dr. aliupata wapi?, Aman Abeid Karume naye aliupata wapi U Dr.?, acha ushamba!!
  5. G

    Mtaani kwangu CCM imedondokea "li-pua" kwako je?

    Hapa Mwanza hali ni mbaya kwa magamba, wamepigwa kama ifuatavyo: Kata ya Machina CHADEMA - 11 CCM - 9 Kata ya Isamilo magamba yamepata mauaji ya kimbari kama ifuatavuo; CHADEMA - 8 CCM - 3 Kata ya Kitangiri kule nyumbani kwa yule Meya chizi aliyefukuzwa CHADEMA akakimbilia CCM wamepigwa kama...
  6. G

    Wawili wajeruhiwa na Polisi katika tukio la fumanizi

    Mi nawalaumu sana hao vijana walipomfumania huyo afande wangemfyayua tigo faster kabla wenzake hawajafika
  7. G

    Wawili wajeruhiwa na Polisi katika tukio la fumanizi

    Mkuu acha kukurupuka inaelekea na wewe unao huo mchezo wa kugegeda wake za watu Kamanda wa Polisi Mkoa ndiye msemaji wa Jeshi la Polisi wa mkoa amethibitisha huyo mwanamke ni mke wa mmoja wa hao vijana na amekwenda mbali kwa kuahidi kuwachukulia hatua hao askari wake sasa wewe ni nani mpaka...
  8. G

    Hali si shwari chuo kikuu St John

    Tatizo Kanisa Anglican wanamuogopa sana Donald Mtetemela amekifanya Chuo kama taasisi yake binafsi, ameajiri watoto wake kila Campus ya Chuo wanna kibri balaa, ukiwagusa tu huna Chuo
  9. G

    Mfanyabiashara Matei apata ajali na kufariki

    Nakubali mimi mpumbafu haya wewe mwenye akili nenda kazikwe na marehemu, tafadhali usinisumbue niko kwenye maandalizi ya kufanya sherehe nina haki ya kufurahi kama wewe ulivyo na haki ya kusikitika shenzi wewe!!. Yeye hakuuthamini utu wa watu wengine mimi nimsikitikie wa kazi gan?
  10. G

    Mfanyabiashara Matei apata ajali na kufariki

    Nilikuwa Rais kwa sababu nilichaguliwa, kama umeumia sana na post zangu kunywa sumu na wewe ufe!
  11. G

    Ndege aina ya Kware: Kwa mahitaji ya mayai ya Kware, Vifaranga na Kware kwa ajili ya nyama n.k

    Mkuu kware wanaishi porini hapa mjini utasubiri sana, mi nakushauri nenda bush na kama una ujasiri wa kutosha nenda Serengeti National Park lakini wale jamaa wenye uniform za kijani kama makada wa CCM wakikukamata usiwaambie kama mi ndo nimekushauri kwenda huko
  12. G

    Mfanyabiashara Matei apata ajali na kufariki

    Nilikuwa Rais wa SOSJUT, huyu marehemu na wenzie akina Chris, Mtetemela, Kobogo.... Ooh sorry Dobogo na wengineo nimepambana nao sana nikiwatetea wanafunzi kutokana na mabyanyaso yao utafikiri walikuwa hawajui kama kuna kifo na hii dunia ni mapito tu!!. Mi nasema walaaniwe sana hata hawa...
  13. G

    Mungu atenda miujiza ARUSHA

    Arusha mtapata sana neema sio mvua tu, yule msukule aliyekuwa anawaletea gundu Mkuu wa Mkoa Magesa Mulugo, sorry Mulongo amehamishwa baada kumshindwa kamanda Godbless Lema. Amepelekwa Mwanza kupambana na Generali Hezekiah Wenje kule Mwanza. Nasikia juzi ameripoti kwa kuanza na midharau yake...
  14. G

    Mfanyabiashara Matei apata ajali na kufariki

    My God!, R.I.P Advocate Joshua Oguda!!
Back
Top Bottom