Ndugu yangu bado unatambua dini za watu kwa kutizama majina yao na matendo yao kiasi wanayo yafanya hadharani kuwa adaa wanadamu?
Uislamu ni nini maana kuna watu we unadhani ni waislamu kumbe ata shetani anawaogopa.
ushauri wangu hapa duniani sidhani kama ni rahisi kuitambua dini ya mtu.maana tunawaona watu kwa majina yao na kukutana nao makanisani/misikitini ila nyuma ya pazia ni mashetani wakubwa.so dini isiwe prefernce yanapatajwa majina ya watu.wanadamu ni wa hovyo sanaa.mmi kwa sasa nalia na nafsi yangu ifike peponi.
Wengine ni mafreemasons