Mimi nafanya kazi hotelini lakini natamani sana kwa sasa niache hii kazi nikafungue kazi zangu ndogondogo, ahsanteni sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah pole ndugu unajua kila kitu na wakati wake usikate tamaa namna hiyo jitahidi kumlilia Mungu zaidi sana na pia usiangalie maneno ya watu Angalia malengo yako haijalishi kwamba una hela au huna madeni yatapita tu mm mwenyewe madeni kibao nadaiwa lakini najua ipo siku nitalipa yooooteee kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.