Pamoja na changamoto za umeme kukatikakatika, kitengo cha huduma kwa wateja kinajitahidi Kutoa huduma nzuri sababu Mimi nilihudumiwa vizuri na tatizo lilitatuliwa.
Miradi inayojengwa na serikali mingi bado haijakamilika mfano SGR, Bwawa la kufua umeme la Mwalimu Nyerere, Ujenzi wa Meli mpya ziwa Victoria, Daraja la Kigongo-Busisi. Serikali ikamilishe kwanza hii miradi ndio ianze ujenzi wa mradi Bandari ya Bagamoyo sababu unatumia pesa nyingi kukamilika kwake.
Nchi zilizo kusini mwa jangwa la sahara mfano Tanzania bajeti zake zitaathirika sana sababu zinategemea wahisani au mabeberu ambao wameathirika pakubwa na corona😷😷
Elimu kwa jamii kuhusu janga la corona ni muhimu zaidi kuliko kufunga mipaka ya nchi. Kuna nchi ambazo zilifunga mipaka yake lakini transmission ya covid-19 ndo imekuwa kubwa zaidi mfano USA
#Mungu ibariki Tanzania🙏🙏
Ni vizuri tukajua maji ya mto rufiji yamepungua kwa kiwango gani, kina cha zamani na sasa kikoje. Mradi Stiglers Gorge una faida kubwa sana kwa maendeleo ya nchi yetu. Tuwe na uzalendo na miradi inayoanzishwa na serikali yetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.