Ungekuwa wa Dini yangu ningekushauri uoe yeyote, akisumbua unapiga chini, unaoa mwingine akizingua unafukuza mbali, unaoa mwingine akuleta mapepe unapita hivi, yaani usiwaruhusu wakuumize kichwa, wapo wengi sana hawa, usiache mmoja akusumbue akili yako