Je nimuoe au nimzalishe tu?

Je nimuoe au nimzalishe tu?

hivi hamkuambiwa msizini!
sasa anataka ndoa ya nini wakati tayari mnagegedana, acheni unafiki maana mungu ameshawaona mlivyokuwa mnazini
 
Wakuu kuna mdada kajichanganya sana kwangu nahsi anawinda ndoa tu age yake imesogea sana yuko 35 sasa ana masters ya Accountancy mimi nina mke tayari hilo anajua ila anataka nimuoe kama mke wa pili sasa sina sure kama kweli ana mapenzi ya dhati au anatafuta ndoa tu atoe gundu namgegeda kwa machale sana mana aliniambia kama sitaki ndoa basi nimpe mtoto wakuu nahitaji ushauri wenu je nimpe ujauzito au nimuoe tu kumuondolea Hilo gundu analowaza jua linazama kwa upande wake
Masters ya accountancy mhhhhhh........
 
Wewe jamaa kama muongo muongo hivi, ngoja nitarudi
 
Huna uhakika kama anakupenda vyote achana navyo we endelea kusuuza rungu au mpige chini atafute mwingine
 
Kama nimeelewa vizuri najaribu kuona kama huyo mwanamke anahitaji mahali pa kujituliza, ushauri wangu ni kwamba, kama huna mipango nae kwa baadae ni bora ukampa ukweli na kumwacha aende kujitafutia kiota kingine kuliko kuendelea kumpotezea muda na anazidi kuzeeka
 
Humchukua mvulana miaka mingi hadi kuwa mwanamme kamili....lakini vile vile humchukua mwanamume dakika moja tu kuonekana mvulana.....

This is too low for a GENTLEMAN.....
 
Wakuu kuna mdada kajichanganya sana kwangu nahsi anawinda ndoa tu age yake imesogea sana yuko 35 sasa ana masters ya Accountancy mimi nina mke tayari hilo anajua ila anataka nimuoe kama mke wa pili sasa sina sure kama kweli ana mapenzi ya dhati au anatafuta ndoa tu atoe gundu namgegeda kwa machale sana mana aliniambia kama sitaki ndoa basi nimpe mtoto wakuu nahitaji ushauri wenu je nimpe ujauzito au nimuoe tu kumuondolea Hilo gundu analowaza jua linazama kwa upande wake
Wewe nawe kwanini unaendekeza michepuko...baki njia kuu
 
Sasa si unamgegeda bado..sasaa unazani ushauri gani unakufaa?
 
Huyu anaweza akawa mdogo wake the General Galadudu
Galadudu na huyu wote ni wale wale,

hivi galadudu yule manzi aliemgegeda tigo kwa kutumia mafuta kumbe demu ni muathirika, tulimshauri akapime ameshaleta mrejesho.... Hahaha atakuwa ameshapata majibu ndo maana kimyaa, sasa huyu nae anafuata nyayo
 
Kama huna nia ya kuoa...Usioe wala usimzalishe. Kwenye maisha unaweza ukafanya maamuzi ambao yanaweza yakakucost sana.Kama upo vizuri na mkeo basi..tulia nae. Sunna ya Mke wa pili inatekelezwa kwasababu kadhaa na sio tamaa.
 
Galadudu na huyu wote ni wale wale,

hivi galadudu yule manzi aliemgegeda tigo kwa kutumia mafuta kumbe demu ni muathirika, tulimshauri akapime ameshaleta mrejesho.... Hahaha atakuwa ameshapata majibu ndo maana kimyaa, sasa huyu nae anafuata nyayo
Galadudu bado hajaleta feedback
 
Kwanini Utafute shari na salama ipo? wewe ndio unaemjua zaidi kama yuko ki ndoa,huyo mwanamke anakuhitajia wewe kwa lolote kama matumizi yakumlipia nyumba,hela ya saloon chakula ua anajitosheleza mahitaji yake mwenyewe ,wewe kazi yako kubwa ni kwenye 6 kwa 6?
 
Back
Top Bottom