Eti hii gauni ni rangi gani?

Eti hii gauni ni rangi gani?

Wale timu beki 3 njooni mtaje rangi ya gauni
Cg98yGCWUAIazYm.jpg
Huyo mtoto lazma ni nurse dah! Ugonjwa wangu huu
 
Yani huyo beki 3 kama ndio kaletwa home unakuwa huna haraka nae, unaanza kwa kujifanya unamjali na kumzoesha vijizawadi, baadae unamzoesha story za usiku na kumleta movie za kibongo anazozipenda, hatua ya mwisho unajikuta siku moja mmeamka wote asubuhi chumbani kwake
 
Naona vijana wanajadili vile vilivyojazana vifuani mwao...,,

Uzuri wa mkakasi......
 
Umenikumbusha mbali sana...nakumbuka wakati niko form 2/3 maza aliagiza hg from mkoa, kilikuja kifaa kikali mtaa mzima hakuna....guess what kesho yake akamrudisha bila maelezo yoyote!!!!! Sitasahau hio kitu.....
Mm ningekuwa ww ningefanya mgomo paka mama amrudishe huyo mfanyakazi
 
Kwa hali hii?Nyumbani kwangu nitaajiri house boy.
Period
 
Back
Top Bottom