Dhana ya future Buddha(milefo) katika Buddhism

Dhana ya future Buddha(milefo) katika Buddhism

nimewai kujaribu kama siku mbili hivi, oooh ni ngumu sana ile mana wanasema inatakiwa mind iconcentrate kweny one thing bt mi nlikua nawaza hadi kipolo cha ubwabwa mpka mpira wa ulaya, yn kwa kweli nlishndwa sijui nitumie njia gan aisee.
Asee nimecheka sana.
 
Kama nafahamu vizuri, kiongozi wa hii Dini kwa Afrika (Chief Monk for the African Continent) anaishi Tanzania, anaitwa
Rev. ILUKPITIYE PANNASEKARA
 
Shukrani mkuu mshana
Tuendelee sasa
Kuna meditation maizi(insight meditation )
Kuna breath/counting meditation nk
Vyovyote iwavyo counting meditation ndio msingi wa meditation zote
Unatafuta sehemu tulivu , ukishindwa lotus posture unakaa chini kwenye jamvi au kwenye kiti katika mkao ambao si wa kujikunja au kujibinua, mkao fulani wa kulerax
Ukishakaa hivyo unafunga macho na kuanza kuhesabu pumzi ukivuta ndani unahesabu moja ukitoa unahesabu mbili...1-10 fanya kwa kurudia
 
Kama nafahamu vizuri, kiongozi wa hii Dini kwa Afrika (Chief Monk for the African Continent) anaishi Tanzania, anaitwa
Rev. ILUKPITIYE PANNASEKARA
Hapana hiki cheo kakipata hivi karibuni. .huyu Pannasekara Theravada sect wale ambao wanaamini katika kujikomboa kwanza wenyewe ndio wawakomboe wengine. asili yake ni Sri Lanka, Ile temple pale Mindu ilikuwepo tangu miaka ya 1970 lakini haikujulikana na wengi kwakuwa ilikuwa confided
Ujio wa Mahayana sect toka Taiwan mwaka wa 1996 ndio ilikuwa mwanzo wa kuifungua Buddhism Tanzania na monk aliyekuwepo wakati huo aliitwa Wimalajothi
 
vip mkuu ulifanya kwa mda gan? madiliko je?
Mabadilikoo yapo saana tu. Awali huwa ni kazi ukikomaa unaweza kuelekeza mawazo sehemu moja. Sikumbuki ilinichukua muda gani ila nilipozoea ilikua raha tu unakaa wala huchoki na unatamani uendelee.. tatizo sijui aina zingine za meditation zaidi ya kuhesabu kinyume nyume.
 
Washirikina katika ubora wao.Hivi,mwanadamu aunde sanamu yeye mwenyewe kisha aliite Mungu na kuanza kuliabudu,hiyo sio akili tena.Ni zaidi ya WAZIMU.
 
Washirikina katika ubora wao.Hivi,mwanadamu aunde sanamu yeye mwenyewe kisha aliite Mungu na kuanza kuliabudu,hiyo sio akili tena.Ni zaidi ya WAZIMU.
vipi leo umekunywa chai ya rangi au ya milk?
 
Unaposoma maandiko ya Buddhism kuna mabudda wa aina mbalimbali
Kuna
Sakyamuni Buddha(Sidharta Goutama) Buddha mkuu
05bf342dc742ab391145f169879643d6.jpg

Kuan ing pusa(Buddha with a thousand hands
ae6a7fb73ddc5661ec085a6870619687.jpg

Milefo (future Buddha)
f7e29d7c2dc5d9043192b0909da79629.jpg

Ni kama aina fulani hivi kama ya utatu mtakatifu kwenye imani za kikristo...hivyo ndani ya Buddhism wanaamini katika ujio wa budha mwingine ambaye atakuja baada ya kalpa kadhaa(kalpa moja ni sawa na ukubwa wa jiwe la maili tano limogolewe kipande kidogo kila baada ya miaka mitano hata liishe)
Ukiichunguza sana hii dhana ya Milefo(Buddha ajaye)haina tofauti na dhana ya ujio wa Kristo kwenye imani za kikristo
Hakuna imani inayokosa utata na huu ni utata kwenye Buddhism pamoja na kujinasibu kusimama kwenye uhalisia na nafsi
Tuna watu wa kuvutika na mafundisho fulani, sio jambo baya jifunze lakini mwisho wa siku baki na msimamo wako mmoja! Hakuna dini inayokosa utata hakuna imani inayokosa ukakasi, ukiwa mtu wa kurukaruka utaishia kuchanganyikiwa
Future buddha/milefo/happy budha ni kitu cha kufikirika...Kalpa pia ni kitu cha kufikirika, jifunze haya mambo penye utata achana napo pasikuzuie kusoma ya mbeleni

Mkuu umeongea point sana, toka Nianze kufuatilia mambo ya dini hakuna vitu vnavyochanga kama masuala ya dini. Ili mtu aweze kusema dini yake sahihi lzma asome na dini za wengine
 
Back
Top Bottom