mwanaMtata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2014
- 2,393
- 1,433
kufanya nini mkuu..wa hivi huwa hawajui kufanya
, nitakufa naye
Kama ugomvi ameuanzisha huyo baunsa ntamtetea lkn kama kaanzisha yeye aa namwaacha apigwe
Haina makombo utampata wapi wa peke yako kama kuku asubuhi anatoka jioni atarudi mwenyewe nyumbaniUnapambana na jamaa unavunjika meno alafu unakuja kujua kumbe demu anatoka na kigogo wa serikali apo inakuaje?
Haina makombo utampata wapi wa peke yako kama kuku asubuhi anatoka jioni atarudi mwenyewe nyumbani
It is the quality of your mindhahaahhah aisee i will fight for my dog till death... it is loyal to me.
That's so maturedNingefurahi kinoma kwani huwa hasikii na anajifanya anajua kila kitu
Ndo manaake, nitakufa naye
Good hakuna kubwetekami ningetafuta mawe ya kutosha tu. Najua hamna baunsa mbele ya jiwe
Kwa nini usimrekebishe siku zote mpaka anapata kichapo?Ningefurahi kinoma kwani huwa hasikii na anajifanya anajua kila kitu
Miaka 31 unaanzaje kumrekebisha?Kwa nini usimrekebishe siku zote mpaka anapata kichapo?
Asiefunzwa na mumewe atafunza na walimwengu... HahahahhaKwa nini usimrekebishe siku zote mpaka anapata kichapo?