Kuwa mkweli, hapa utafanyaje?

mwanaMtata

JF-Expert Member
Oct 18, 2014
2,393
1,433
upload_2016-5-23_15-12-7.png
NIgga swali gani ilo unauniuliza? Nampenda demu wangu sana.. Kama mwanaume nliokamilika ntasimama kidete na kumuacha jamaa amshuhulike ipasavyo.. we unaleta utani nini. cheki jitu kwanza ilo miraba kumi si minne.. Baby nakupenda ila kiherehere yako itakuponza, inakuaje unachokoza jitu ka ilo? ********************************************************* nakumbuka niliahidi kukulinda na ntazidi kukulinda kwa kutumia DUME kwenye maswala ya kupigana huko pigwa tu mamy.
 
Yani huyo jamaa usijaribu kumsogelea maana anaweza kukufanya historia kwa waioshuhudua tukio, ila dawa yake unamkalia mbali kama m 50 hivi, alafu unapomoromosha mawe
 
Back
Top Bottom