Recent content by Fundikira Ntabo

  1. F

    Ndoa 300 huvunjika Dar kwa mwezi

    Lack of selfawareness Women discrimination Lack of water supply Child labour Lack of capital 😂😂
  2. F

    Matumizi ya chumvi kuondoa mikosi

    MLA PANYA SWANGA, akili yako imekomaa sana ndugu hongera
  3. F

    Ushauri: Biashara ya kukamua na kuuza mafuta ya alizeti kwa jijini Dar inalipa?

    jumla kilo 13 zinatoa 5lts kununua kilo 600 *13=7800 kukamua 13*100= 1300 kununua dumu 1000 kuweka lable 1000 usafiri =2000 jumla 13900 gharama za uandaaji utauza kwa 17000 kwa mkoani faida itakuwa 3100 kwa dumu inamaana kwa gunia itakuwa 5*3100= 15500 hapo utauza mashudu kilo30 *sh 300*=...
  4. F

    Mbwana Samatta uwezo wake wa kawaida Mno, Anabebwa na bahati tu!

    H Na wewe pia uwezo wako was kujieleza ni wakawaida mno, point zako hazieleweki unaongelea ukawaida UPI. Na we we pia uwezo wako was kutoa maoni ni was kawaida sana hats Haumtishi Mbwana Samatta
  5. F

    Ruge Mutahaba anaumwa nini?

    ndio vitu anavyoumwa?
  6. F

    Nitawezaje kumtambua mwanamke bikra?

    Hivi sijui sisi bongo tunamtindio wa akili. Mtu anauliza swali wewe unakuja na jambo la ajabu kabisa... Embu tujifunzeni quora walivo juu
  7. F

    Biashara gani inalipa vijijini

    Nitaanzisha biashara kukukamata
  8. F

    Naomba kujuzwa Bei za Guitar

    Huyu ndiye kajibu straight, wengine mnazunguka tuu
  9. F

    Kama maandishi ya risiti za kielekitronik yanafutika zina maana gani?

    Naomba msaada pia, mimi nikiandika z report inaandika error alafu in background inaprint karatasi haina maandishi, nini tatizo
  10. F

    Kampuni ya mafuta ya Total kuanza ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Tanzania hadi Uganda

    Kampuni zipi za ukandarasi zinahisika ili na sisi tupate kuomba kazi hapo Anayejua tafadhali anisaidie
  11. F

    Shipping container homes

    These walls are constructed with insulation materials joto au baridi havisumbui
  12. F

    Msaada: Nahitaji kufungua kampuni ya ujenzi

    Unaweza kutumia diploma/technicians katik kazi zako. Ambao mishahara yao midogo ila wanaefficiency kubwa.. Na niwachapa kazi.. Uctumie maengineer wengi
  13. F

    Msaada: Nahitaji kufungua kampuni ya ujenzi

    I challenge you to follow your passion.
  14. F

    Msaada: Nahitaji kufungua kampuni ya ujenzi

    Zipo lakini unaisajili separate kama civil pekeyake na nyingine building lakini jina ni moja tofauti ni number ya usajili.
Back
Top Bottom