Recent content by Fundi chupi

  1. Fundi chupi

    Ni nani mmiliki wa huu ulimwengu/dunia?

    Haina mmiliki
  2. Fundi chupi

    Epuka kuhifadhi vitu hivi kwenye fridge

    Nunua la saizi yako ule umalize
  3. Fundi chupi

    Kifaa hiki kinaitwaje kwa Kiswahili

    Kinaitwa kigolokochi
  4. Fundi chupi

    Hongera Baruan Muhuza wa Azam. Kipindi chako cha leo kuhusu mkutano mkuu wa CCM, umetisha!

    Hongera sana baruani muhuza kwa kuonyesha kipaji chako
  5. Fundi chupi

    Kwa wanaohitaji kuolewa

    Mungu ni bwana wa wasiokuwa na bwana. Mwache mungu awaoe tafadhali!
  6. Fundi chupi

    Ni dawa gani ya usingizi wanayoitumia wezi kupuliza madirishani?

    Aisee nimecheka [emoji1] [emoji1] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]
  7. Fundi chupi

    Usafiri wa kutoka Dar es Salaam kwenda Kasulu-Kigoma

    Mkuu mimi ndio natoka moshi kuja dar na hatimaye niende kigoma. Vipi waweza kunisaidia nijue nitapanda basi gani zuri, linalowahi? Au pia treni kama naweza ipata kwa huo muda nitakaoingia dar ambao ni kama saa tisa na nusu. Nahitaji kufika ujiji mkuu
  8. Fundi chupi

    Zimbabwe war veterans end backing for Robert Mugabe

    Natamani sana ungekuta ni Tanzania
  9. Fundi chupi

    Historia ya wamasai kutokea Israel hadi Africa mashariki

    Upuuzi mtupu. Maneno mengi ni ya kutengeneza kutoka kichwani mwako. Engarenairobi
Back
Top Bottom