Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,139
- 56,590
Unawalogaje?nipe uzoefuHao wezi hawahitaji huruma ni kuwaroga tu
Unawalogaje?nipe uzoefuHao wezi hawahitaji huruma ni kuwaroga tu
wezi walikunywa kwanza chai???
Unawalogaje?nipe uzoefu
Salaam jf.
Nilikuwa naomba uzoefu wenu wana jf, hasa katika hizi dawa wa wanazotumia wezi kuwaibia raia wema kuwapulizia madirishani wakati wa usiku wanapolala, kwanza nilikuwa nataka kufahamu jina lake na pili wapi wanapozipata lengo si kwa ajiri ya matumizi binafsi lengo ni kufahamu. Sababu wizi wa kuvunjiwa milango na madirisha umekithiri kibaya zaidi wezi wanathubutu kuwaibia walala hoi hadi maafisa wa serikali wenye silaha, juzi kati mh. Fulani ambaye anacheo kikubwa tu serikalini alipigwa vitu vyake vyote sebureni na mwengine kasafishwa sebure yote na watoto wa mjini, akiwemo pia mwanajeshi mstaafu nae alivunjiwa nyumba na wezi kusafisha sebure lakini kabla ya kuiba wezi walikunywa chai iliyokuwa sebureni na kuondoka. Inavyooshesha hii dawa inawapa kiburi sana, usishangae hadi usalama huwa wanapigwa.
Sio mwanamke tu mkuu hata kidume wanaweza legeza marinda.ukiona wamesepa na zagazaga na wewe wamekuacha salama unscathed ni jambo la kushukuru mungu.Kama ni mwanamke c wanaweza kumpiga show kabla ya kaondoka?
Nacheka kama mazuri vile.ila daah kweli wahuni sio watu.hivi haya matukio yanatokea mitaa gani.mbona pande hizi sijawahi kusikia wizi wa dizaini hyoHiyo dawa haifai wadau wezi wanafika wanavuta viti wanakaa wanaorodhesha vitu vya kuiba na bei ya kuuzia
Mkuu, wezi hula makombo,hupakua wali uliolala maarufu kiporo, hula daku nk. Kiufupi ni washenzi sana. Tena hadi kukojoa mkojo kwenye vyombo, kwa ufupi hawana utu
Ah ah ah ah ahHao dawa yao IPO, wakiiba mbona watarudisha tena wakilia, dawa ya wezi ni kuwaroga tu Mimi huwa siendi police, iba uone
Taja jina kaka hizo chemicals tuzielewe kuna mwana anasema.chloroform..nahisi.yupo chakaDawa hiyo ipo kwenye maduka ya dawa.
Naomba nisitaje jina hapa ,Fika duka la kilimo na mifugo ipo
Chloroform inatabia ya kuwa affirnity to water. Hivyo unapolala hakikisha ndoo ya maji unayo chumani tena iwe wazi na maji mengi. Wakikupulizia hiyo dawa basi moja kwa moja inavutwa kwenda kwenye maji.Sasa kama wanatumia hiyo dawa, nini kifanyike ili kuondoa usingizi?
Ikizidi waweza kulala hadi kufa?
Nini zuio?
Dmkali acha utapeli wako huo,wadanganye hao hao wajinga wenzako.Huo utapeli haujaanza Leo sijawahi kuona ujinga huo popote.Mamia kwa maelfu ya kesi za wizi zimejazana mahakamani na mitaani kote nchini kwa nini usiende kufunga kazi uzimalize zote na wewe uwe bilionea kwa kulipwa kwa kazi nzuri uliofanya.Hao dawa yao IPO, wakiiba mbona watarudisha tena wakilia, dawa ya wezi ni kuwaroga tu Mimi huwa siendi police, iba uone
Wewe ni mzuri lakini nakupendaUnawalogaje?nipe uzoefu
Aisee nimechekaSio mwanamke tu mkuu hata kidume wanaweza legeza marinda.ukiona wamesepa na zagazaga na wewe wamekuacha salama unscathed ni jambo la kushukuru mungu.