Jambo si kutishana ila tunaelezea uhalisia wake.. Biashara hii inalipa endapo ukipata kijana mzuri na mwenye kujali chombo
Mimi mwenyewe niliingiza 7m ila kilichotokea sina hamu
Pamoja na kutambua kua una majukumu mengi sana kwa nafasi yako kama Raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Mimi nikiwa kama mwananchi wako au mtanzania mwenzako. Napendekeza kufanyike review kwa Mashirika na taasisi zote za serikali zenye kutoa huduma katika jamii kama zinaenenda sawa sawa...
Jichunguze labda wewe ni mkali sana haumpi nafasi ya kuelezea mitazamo/misimamo yake.
Unaweza pia kumpa task yoyote inayotumia akili alafu linganisha utendaji wake na matarajio yako, kama atafanya chini ya kiwango nadhani itakusaidia kujua tatizo liko wapi .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.