Recent content by Fredrick Mashauri

  1. F

    TCRA Wakomesha wizi wa simu za mkononi

    Wasipokuwa makini TCRA watablock na simu zisizohusika. Mtu anaweza kuripoti tukio la wizi kumbe hajaibiwa ila anabifu na mwenye simu na amejitahidi akapata IMEI ya simu husika. Kwa kifupi zoezi gumu labda wafungue ofisi kila wilaya ili mtu apeleke malalamiko physicaly na vielelezo vya kununulia...
  2. F

    Serikali yasitisha mafunzo ya JKT

    Hongera kijana kwa kutengeneza habari ya kizushi. Tambua hii siyo fb au twiter ya kujadili habari za kipuuzi zisizo na mashiko na zilizojaa upotoshaji kwa umma. Mafunzo ya jkt yapo kama kawaida.
  3. F

    Mzee Yusuf Makamba atangaza kumnadi January Makamba Urais 2015

    Mwache amtafutie kiki ya baadae coz hata Lowassa alianza mbio 1995 kiasi cha kumfanya awe hot hadi wenzie tumbo joto. Hivyo tumwache ajipange kwa miaka mingi ijayo ikibidi 2035.
  4. F

    Ajali zaitia serikali hasara trilioni 3.2/- kwa mwaka mmoja

    Chakufanya ni kuendelea kutafuta mwarobaini wa ajali za barabarani ili mwisho wa siku tuwe na amani pindi tunapotumia barabara zetu. Waathirika wa ajali huwa hatuna thamani katika nchi hii maana kila mmoja huwa anatusahau hasa wanaotumia mabasi na kukumbwa na janga la ajali anaachwa akapambane...
  5. F

    Mwenye ufahamu kuhusu hawa jamaa atueleweshe isije kuwa ni matapeli

    Like fb page ya Patrick mission high school kuna member katoa ushuhuda wa kupatiwa 3 ml. Sijui ndo miongoni mwa matapeli coz anahamasisha members wajiunge
  6. F

    Daktari Feki akamatwa Manyara, ajitetea ni ugumu wa Maisha!

    Wampeleke shule akatimize ndoto yake ya kuwa dk
  7. F

    Soko la Karume lateketea kwa moto usiku

    Poleni sana watanzania wezangu mliowekeza mitaji yenu ya biashara katika soko hilo. Najua wengi mtaathirika sana na tukio hilo kwakuwa biashara hizo ndo zilikuwa kila kitu katika maisha ya kila siku. Na wengine bado wanarejesha mikopo waliochokuwa kwenye taasisi za fedha kwaajili ya kuendeleza...
  8. F

    Njia 6 za kupunguza mionzi ya simu ya mkononi

    Je kuzungumza na simu muda mrefu hakuna madhara mkuu? Kwa mfn zaidi ya dk 5
  9. F

    Tanzia: Muigizaji Rachel Haule afariki dunia

    Inahuzunisha sana wapendwa. RIP RECHO
  10. F

    Rished Bade ateuliwa kuwa Kamishna Mkuu Mpya TRA

    Mh! Ni walewale tu. Labda tujaribu tuone kama sio wale tuliowazoea
  11. F

    Treni ya TAZARA yageuzia njiani na kurudi TAZARA

    Au lilikuwa halijajaa abiria hivyo wakaamua kurudi nyuma kusanya upya kama daladala ili wapate mpunga wa kutosha
  12. F

    Mkakati mpya wa Bunge/CCM kuhusu katiba mpya huu hapa

    Ikumbukwe kuwa sheria kwa sasa inataka maamuzi yaridhiwe na theluthi mbili ya wajumbe wote (hata wasiohudhuria wanahesabiwa) toka bara na zanzibar jambo ambalo kujitoa kwa Ukawa kutaathiri maamuzi na hasa upande wa zanzibar. Kama ni hivyo wajumbe wasiokuwepo wakati wa kupiga kura wanahesabiwa...
  13. F

    Ukiwa na tabia hizi, jiandae kuwa middle class na kuteseka ki uchumi!

    maisha hayana formular. mbona wapo walioanza na biashara na matokeo yake biashara zimekufa na nyumba za kuishi hawana. hii kitu haina guarantee bali ni wewe mwenyewe utakavyojipanga kukabiliana na maisha. Wapo wengi sana ktk jamii zetu. Inabaki kuwa historia tu. Utasikia mtu akisema eti zamani...
Back
Top Bottom