TCRA Wakomesha wizi wa simu za mkononi

TCRA Wakomesha wizi wa simu za mkononi

Habari wanabodi,

TCRA imesikia vilio vya wadau wa simu za mkononi,taarifa za ndani zinasema kwamba kuanzia May 2015 simu yako ikiibiwa piga simu haraka sana huduma kwa wateja TCRA kuelezea upotevu wa simu yako,jambo la msingi ni kukumbuka IMEI/ESN ya hiyo simu TCRA kwa kushilikiana na mitandao ya simu wameanzisha CEIR (Bonyeza hapa Kujua maana) ambayo itakayoanza kufanya kazi May 2015.

Sasa mwizi akiiba simu yako haitofanya kazi tena chini tanzania hata wakii-flush kwa matapeli wa k/koo.Safi Sana TCRA

CEIR ni nini? Ni mtambo ambao utakuwa unafanya kazi ya kuzuia simu zilizolipotiwa kama za wizi zisiweze kukamata mtandao wowote nchini tanzania.Hii ina maanisha ukishareport upotevu wa simu na ikishakuwa blocked that means hiyo simu inakuwa Toy la kuchezea watoto.

Kwa upande mwingine inaweza kuwa pigo kwa wafanyabiashara wanaoleta simu zilizoibiwa nje ya tanzania kuja kuuza huku nchini kwetu kama TCRA wakiunganisha na CEIR za nchi nyingine maana hazitofanya kazi pia nchini.

Kumbaffu zao, tunataka watatue matatizo ya mitandao kutu-over charge, ili la wezi tunaliweza, tukikamata tunapiga kibiriti.
 
Heshima kwako mkuu Chief-Mkwawa,
TCRA wapo smart sana walijua zipo software za kufanya alteration of IMEI ndio maana huo mtambo una-detect hata simu zilizokuwa na Fake/Forged IMEI na kuzifungia na hata wakiiga imei ya simu nyingine ina detect phones with duplicate IMEI na kuifungia ya pili iliyo-copy hiyo IMEI,kwa kifupi hakuna ujanja watakaoufanya hao wezi.

let say nimeiba galaxy s5 yako, then nikachange imei nikaeka nikaeka ya galaxy s5 ya kenya ambazo ni version moja ya africa watajuaje? ukumbuke details za simu zinakaa kwenye efs folder hivyo ni rahisi kuudanganya mtambo wowote duniani usijue. nchi kubwa duniani wameshindwa ku implement hiki kitu ndio maana unaona nina doubt. hiki kitu kinatakiwa kifanywe na watengeneza simu wenyewe.
 
Last edited by a moderator:
let say nimeiba galaxy s5 yako, then nikachange imei nikaeka nikaeka ya galaxy s5 ya kenya ambazo ni version moja ya africa watajuaje? ukumbuke details za simu zinakaa kwenye efs folder hivyo ni rahisi kuudanganya mtambo wowote duniani usijue. nchi kubwa duniani wameshindwa ku implement hiki kitu ndio maana unaona nina doubt. hiki kitu kinatakiwa kifanywe na watengeneza simu wenyewe.

Kwa technique hiyo itafanya kazi ila TCRA wataunganisha hiyo CEIR na nchi nyingine ili kuzuia kabisa wizi wa simu duniani.
 
Last edited by a moderator:
Mh bado sana! Tutazifungua kama kawaida na imei zinaandikwa mpya ndani ya dakika moja tuu
 
let say nimeiba galaxy s5 yako, then nikachange imei nikaeka nikaeka ya galaxy s5 ya kenya ambazo ni version moja ya africa watajuaje? ukumbuke details za simu zinakaa kwenye efs folder hivyo ni rahisi kuudanganya mtambo wowote duniani usijue. nchi kubwa duniani wameshindwa ku implement hiki kitu ndio maana unaona nina doubt. hiki kitu kinatakiwa kifanywe na watengeneza simu wenyewe.

Chief Mkwawa utabadili vipi to a new IMEI wakati simu tayari iko blocked ? Yaani utai access vipi hiyo app wakati chombo kiko disabled ?
 
Chief Mkwawa utabadili vipi to a new IMEI wakati simu tayari iko blocked ? Yaani utai access vipi hiyo app wakati chombo kiko disabled ?

hebu niambie utablock vipi simu yangu nyumbani? ukijibu na mi ntakujibu
 
yani android huiwezi kui control tuwe honest hapa. google mwenyewe imemshinda tcra wataweza?

mkwawa unadanganya,google wameshndwa kukontro android?soma taarifa nyng kuhusu regulatns kule u.s.a
 
mkwawa unadanganya,google wameshndwa kukontro android?soma taarifa nyng kuhusu regulatns kule u.s.a

samsung-touchwiz na feature zake za kipekee wanaamua wenyewe watoe updatea au wasitoe. ina njia zake za kuroot zisizofanana na htc wala sony ina box zake nk

htc- sense na feature zake haifanani na samsung ipo kivyake wanaamua wenyewe watoe updates ay wasitoe

simu za kichina- hizi hazipati updates kabisaaa hata google apige magoti aombe hawatoi updates

-marketshare ya os mpya ya google yaani lolipop ni 1% tu. wengi wapo jellybean wengine kitkat na mamia ya mamilion wapo gingerbread bado.

-kuna qualcom, exynos, ti-omap, mediatek, allwiner, broadcom, imagination na makumi mengine ya watengeneza chip za android.

-kuna android inayokuja na playstore (oha) na isiokuja na playstore (aosp)

-kuna forked android kama amazon fire , oxygen os(one plus one), nokia x series nk

-kuna official rom na custom rom

list inaendelea nk nk

hebu nambie wewe hio fragmentation, control inatoka wapi?

tcra watakabiliana nayo vipi?
 
Hawa tcra wameshindwa kudhibiti wizi wa vocha zetu kwenye mitandao ya simu hasa TIGO, wanakimbilia kwenye WIZI wa simu??
 
Habari wanabodi,

TCRA imesikia vilio vya wadau wa simu za mkononi,taarifa za ndani zinasema kwamba kuanzia May 2015 simu yako ikiibiwa piga simu haraka sana huduma kwa wateja TCRA kuelezea upotevu wa simu yako,jambo la msingi ni kukumbuka IMEI/ESN ya hiyo simu TCRA kwa kushilikiana na mitandao ya simu wameanzisha CEIR (Bonyeza hapa Kujua maana) ambayo itakayoanza kufanya kazi May 2015.

Sasa mwizi akiiba simu yako haitofanya kazi tena chini tanzania hata wakii-flush kwa matapeli wa k/koo.Safi Sana TCRA

CEIR ni nini? Ni mtambo ambao utakuwa unafanya kazi ya kuzuia simu zilizolipotiwa kama za wizi zisiweze kukamata mtandao wowote nchini tanzania.Hii ina maanisha ukishareport upotevu wa simu na ikishakuwa blocked that means hiyo simu inakuwa Toy la kuchezea watoto.

Kwa upande mwingine inaweza kuwa pigo kwa wafanyabiashara wanaoleta simu zilizoibiwa nje ya tanzania kuja kuuza huku nchini kwetu kama TCRA wakiunganisha na CEIR za nchi nyingine maana hazitofanya kazi pia nchini.

Kuna wataalamu wa ku tamper na IMEI ila kwa bongo sijui kama wapo. Wanaingia kwenye simu wanabadilisha digit za mwanzo
 
Heshima kwako mkuu Chief-Mkwawa,
TCRA wapo smart sana walijua zipo software za kufanya alteration of IMEI ndio maana huo mtambo una-detect hata simu zilizokuwa na Fake/Forged IMEI na kuzifungia na hata wakiiga imei ya simu nyingine ina detect phones with duplicate IMEI na kuifungia ya pili iliyo-copy hiyo IMEI,kwa kifupi hakuna ujanja watakaoufanya hao wezi.

interesting topic and discussion.

Just a question what if nikibadilisha IMEI + Certs?

Things are very easy my friend.

cryptography ipo linked na CPU ID na NV Data. ukiweza edit NV data ( hapa panakuwa na IMEI ) basi biashara imeisha.
kuna baadhi ya CPU zinakuwa ngumu na kuna baadhi ya simu kama samsung zinakufa EFS na kuua imei Original zenyewe tu na imei inakuwa
0049xxxxxxx.
Unaweza write original IMEI au kudadilisha IMEI.

I'm far from an expert tho
 
Habari wanabodi,

TCRA imesikia vilio vya wadau wa simu za mkononi,taarifa za ndani zinasema kwamba kuanzia May 2015 simu yako ikiibiwa piga simu haraka sana huduma kwa wateja TCRA kuelezea upotevu wa simu yako,jambo la msingi ni kukumbuka IMEI/ESN ya hiyo simu TCRA kwa kushilikiana na mitandao ya simu wameanzisha CEIR (Bonyeza hapa Kujua maana) ambayo itakayoanza kufanya kazi May 2015.

Sasa mwizi akiiba simu yako haitofanya kazi tena chini tanzania hata wakii-flush kwa matapeli wa k/koo.Safi Sana TCRA

CEIR ni nini? Ni mtambo ambao utakuwa unafanya kazi ya kuzuia simu zilizolipotiwa kama za wizi zisiweze kukamata mtandao wowote nchini tanzania.Hii ina maanisha ukishareport upotevu wa simu na ikishakuwa blocked that means hiyo simu inakuwa Toy la kuchezea watoto.

Kwa upande mwingine inaweza kuwa pigo kwa wafanyabiashara wanaoleta simu zilizoibiwa nje ya tanzania kuja kuuza huku nchini kwetu kama TCRA wakiunganisha na CEIR za nchi nyingine maana hazitofanya kazi pia nchini.

Good move ila sasa sijui wangapi watakumbuka IMEI zao...
 
Hapa malengo unaweza kuta wala siyo kukomesha wezi, bali usikute tcra na serikal kwa ujumla wameandaa DILI la kupiga pesa. Maana kila mpango wa serika kuna kilio mbele yake. Kama walishindwa kukomesha uchakachuaji wa mafuta (petrol) hadi wakaongeza bei ya mafuta ya taa!
 
Wata-prove vipi kama anayeripoti wizi ndio hasa mmiliki wa hiyo device, I mean, naweza nikaibiwa lakini katika kutoa taarifa nikakosea digit moja.
 
Wangekomesha na wizi huu tunaofanyiwa na hizi kampuni za mitandao ya simu kwa kutupunguzia 'bando' ningewaelewa vizuri!
 
Wasipokuwa makini TCRA watablock na simu zisizohusika. Mtu anaweza kuripoti tukio la wizi kumbe hajaibiwa ila anabifu na mwenye simu na amejitahidi akapata IMEI ya simu husika. Kwa kifupi zoezi gumu labda wafungue ofisi kila wilaya ili mtu apeleke malalamiko physicaly na vielelezo vya kununulia simu ili kuepuka lawama. Na vilevile kuwe na ufungiaji wa awali ili kama muhisika aliyefungiwa simu yake ana vielelezo aviwasilishe ofisini. Na ikibainika mtoa taarifa kafanya udanganyifu afikishwe kwenye vyombo vya kisheria.
 
kaka usipoteze mda na hawa wanaojiita cybercrime nao ni crime tu pamekaa kidilidili jiulize magaid yanachat free hawa wanafanya nn
 
Back
Top Bottom