Recent content by freddymruma

  1. freddymruma

    Sitaki dawa

    Bila shaka we utakua tajiri sana mazee
  2. freddymruma

    Toyota Alphard

    Vp kuhusu hii mashine...!
  3. freddymruma

    Niangukie wapi kati ya Brevis na Rav 4(kili time)

    Nilikua na altezza nikauza sasa nahitaji ushauri kati ya Brevis na Rav 4 kili time niangukie wapi..[emoji42]
  4. freddymruma

    Unawezaje kuishi na mwanamke mlevi?

    Pombe sio chai nyie mademu...[emoji23]ubongo unakua na mwendo kasi siku ukipigika kdgo basi dume likikupa ka offer na kalift kwenye benz na keshoyake ana kutext.."nipo sea breez hapa beer kbaoo"unachomoka kama altezza kwann usiwe unagongwa kwa addiction ya mapombe..!mwanamke mlevi SIO
  5. freddymruma

    Wanasheria wa lady JD wamtaka Gardner kuomba msamaha kwa maneno yake ya kidhalilishaji

    Hv jide akiulizwa,unaelewa nn kuhusu kukojozwa...!?[emoji23][emoji23][emoji23]atajibuje..! Silence is best revenge
  6. freddymruma

    Huyu mtangazaji kipindi cha Nirvana jamani?

    Inasemekana model wengi wa kiume ikiwemo na hao watangazaji wanaliwa vboga
  7. freddymruma

    TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

    Pambaneni wakuu never giv up,wengine tulinza na diploma ila sasa tuna master degree ni kupambana kwel kwel Tz ya leo sio ya jana watu kbao kila kona
  8. freddymruma

    Usanii wa nabii Malisa na miujiza feki

    Mpende mungu kwa moyo wako na akili zako zote...tatizo watu wanaenda na moyo kanisani wanaacha AKILI nyumbani lazima wapigwe za uso...[emoji35]
  9. freddymruma

    Nani zaidi kati ya Kikwete na Magufuli katika eneo la uongozi bora?

    Pale mabwege wa fisiem wanapokiri uboya wao...[emoji83]
Back
Top Bottom