Deception naomba nikuulize swali moja hapo uniondolee utata,sasa hivi vipimo vya HIV wamevitengenezaje mpaka ukipima unaoonekana HIV+ yaani vipimo vimetengenezwaje au kinachoonekana kwe damu ni kitu gani ila wao wanasema ni HIV??
Naomba unieleweshe hapo ili twende sawa,na kiujumla mi nimekuelewa sana huko nyuma!!
Kuna vipimo vya aina nyingi vinavyotumika kupimia huyo HIV,lakini vyote hivyo huwa vinapima aidha antibodies dhidi ya antigen('HIV surface proteins eg p24') au antigen yenyewe eg p24 au vyote viwili,yaani antibodies/antigen.Sasa vipimo hivi vimerekebishwa mara kadhaa kutokana na kukosa ufanisi wa kuwaletea wateja wanaowataka,na ndio maana kuna rundo la vipimo halafu vyote ni vya uongo.Cha kushangaza,maeneo mbalimbali duniani yanatofautiana,yaani hayatumii vipimo vya aina moja,kipimo kinachoonekana hakifai sehemu fulani kwingine kinaonekana kinafaa.Sasa hapo inabidi utafakari.
Sasa vipimo hivi havipimi huyo HIV kwa muonekano na badala yake vinapima kinga ya mwili dhidi ya protini au protini zenyewe ambazo zinaaminika zinatoka kwa eti HIV.Lakini fahamu kwamba kuna hali nyingi katika mwili wa mwanadamu ambazo zinaweza kuzalisha protini hizo hivyo kufanya vipimo vitoe majibu HIV+.Mimba kwa wanawake,homa kali ya malaria na TB ni baadhi ya hali ambazo zinaweza kufanya mwili uzalishe protini hizo ambazo hufanya vipimo kutoa majibu ya HIV+.
Kumbe kutokana na ukweli huu,njia pekee ya kuwa na uhakika ni kupima huyo HIV kwa muonekano,ukipima HIV kwa muonekano hutahitaji kuwa na vipimo vya aina nyiiingi,kipimo cha aina moja tu kinatosha,pia hutahitaji kurudia kupima au confirmation test kama wanavyofanya sasa.Lakini unajua kwanini wanang'ang'ania kutumia vipimo hivyo feki?Ni kwasababu hakuna HIV kiuhalisia,kinachopimwa ni protini zinazoaminika kwamba zimetoka kwa huyo HIV wa kufikirika,lakini ukweli ni kwamba hali hizo nilizotaja hapo juu ni baadhi ya mambo yanayoweza kuzalisha protini hizo.
Pia kuna dhana nyingine inabidi uifahamu.Inabidi ufahamu kwamba hao wanaoitwa wagunduzi waliamua kumpa jina la HIV kirusi aina ya retrovirus ambaye hana sifa za kushusha kinga ya mtu yeyote yule.Retrovirus walikuwapo enzi na enzi na hawajawahi kusababisha ukimwi kwa mtu yeyote hata kama watakuwapo mwilini kwa miaka yote ya maisha ya mtu.Futilia sayansi ya kweli kuhusu retrovirus utajua ukweli huu.Retrovirus hawa pia wana hizo protini tajwa kama vile p24.Sasa protini hizi ziko kwenye surface ya retrovirus,sasa kama umeweza ku detect protini hizi maana yake retrovirus huyo yuko nje ya seli,hayuko ndani ya seli,hii maana yake ni kwamba anapokuwa nje ya seli ile envelope yake(yaani surface yake/jumba lake) inatoka/nyofoka.Sasa kama envelope yake itanyofoka maana yake kamwe hawezi kuingia ndani ya seli,hii ni kwasababu retrovirus hutumia hilo jumba kuingilia kwenye seli husika.
Halafu pia,hata kama retrovirus ataingia kwenye seli hana uwezo wa kushusha kinga kutokana kwamba hana tabia hiyo kisayansi(sayansi yake ina maelezo kidogo).Retrovirus hawa hawaambukizwi kutoka mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia ya ngono(hapa pia kuna maelezo kidogo).Wewe ukiona mke na mume wote wamepimwa HIV+,usihangaike,chunguza mambo yale ninayosema siku zote,utagundua wanaangukia kwenye kundi mojawapo la sababu zinazozalisha protini hizo ktk mwili.
Hivyo kuambiwa kwamba wewe ni HIV+ au HIV- hutakiwi kuogopa na wala hutakiwi kufurahia kwa maana ni ujinga tu.Hakuna maana yoyote yenye kutilia mkazo kama utaambiwa wewe ni HIV+ au HIV-.Watu wanaohuzunika au kufurahia pindi wanapopewa majibu haya huwa wanakosa uelewa huu.HU ndio ukweli ulivyo.Kwa undani zaidi kuna paper za kufuatilia na kuna documentaries pia.Lakini ukweli halisi utaupata kwa wewe kuona mwenyewe kwa macho yako yanayotokea mtaani au kwenye vituo vya afya.Ngoja nikukumbushie ile documentary inayoitwa "The birth of Heresy/positively false",ingia kwenye youtube utafute hii doc na uifuatilie kwa makini sana mpaka mwisho,hii doc inazungumzia hasa kuhusu vipimo vya HIV jinsi vilivyo vya uongo na kwamba majibu yoyote utakayopata hayana maana yoyote ya kutilia mkazo.
Eti wanakwambia kuna majibu HIV+,HIV- na majibu TATA,halafu wanatumia vipimo vingine ku confirm kipimo cha kwanza.Sasa kwa nini wasitumie kipimo cha pili moja kwa moja na badala yake wanatumia cha kwanza then wana confirm na cha pili.Upimaji wa namna hii labda una logic kwa magonjwa yasiyoambukiza tu kama vile cancer nk,lakini kwa magonjwa yanayoambukizwa(yaani vijidudu) unahitaji kupima kijidudu kwa muonekano baaasi,kwisha.Huu ujanja ujanja mwingine ni wa kutafuta wateja wa ARVs tu.
Jiulize tena,kama wanafanikiwa kuona protini zilizotoka nje/kwenye surface ya HIV,kwanini wanashindwa kumuona HIV mwenyewe?He he heeee,au HIV amekuwa shetani,yaani mnaona matokeo yake tu,yeye mwenyewe haonekani?Au HIV ana utashi kama mtu,kwamba akigundua tu anapimwa basi anakimbilia kujificha,he he heeee.Yaani ukianza kuhoji tu suala la HIV/AIDS ujue tayari umeshajua ukweli.Halafu jiulize tena,hivi huyu HIV kwanini asisababishe ukimwi tangu enzi hizo kabla hajatangazwa lakini anakuja kusababisha ukimwi kuanzia hasahasa miaka ya 1980?Kwani HIV ana umri gani?Kwa kuwa wao wamempachika jina retrovirus kama ndio HIV basi retrovirus walikuwapo kabla ya hao wanaoitwa wagunduzi hawajazaliwa,sasa inakuwaje anaanza kusababisha AIDS miaka ya 1980 na si kabla ya hapo?
Tafakari,chukua hatua.