Recent content by Francofighter

  1. Francofighter

    Hivi hii timu ya Ac Milan inamashabiki kweli

    Vijana wa 2k mna taabu sana. Kwa hiyo AC Milan na Asenyani unaona Asenyani ni kubwa si ndio au uliamua tu kushabikia timu ndogo
  2. Francofighter

    Kwa wale ambao mpo single muda huu njooni tufarijiane hapa

    Maisha hayatuhitaji kuwa that serious, take things easy na life likwende tu
  3. Francofighter

    Kwa wale ambao mpo single muda huu njooni tufarijiane hapa

    Maisha ni kupanga kuchagua. Priorities mamaa
  4. Francofighter

    Looking for lifetime partner

    Hakika
  5. Francofighter

    Hivi ukipewa mkopo 100% ile Admition Fees unailipa au nayo unalipiwa?

    Kwa baadhi ya vyuo huwa wanaita direct costs. Ukipewa mkopo 100% unahitajika kulipa ile direct cost ambayo ndani yake Kuna vitu Kama examination fees, identify card cost, students union, as well as bima ya afya ( hivi vyote serikali huwa haigharamikii)
  6. Francofighter

    Huduma za mawasiliano Chuo cha Mipango Dodoma ni mbovu mno

    Kuna Taasisi za serikali hujisahau mno. Kuna baadhi ya vyuo kiukweli wako very smart. Wanawatreat wanafunzi Kama wateja kabisa. Tunahitaji kutoka kwenye ile dhana ya kuweka ngumu kwenye level ya University. Wamesahau kuupdate contacts, mbaya zaidi no response kwa wanafunzi ambao watakufanya...
  7. Francofighter

    Biashara ya mtumba, mtaji laki sita, (mauzo chini 4m). Nifanyeje kuepuka usumbufu wa watendaji?

    Brother nimefuatilia hii mada mpaka hapa, naona nimepata kitu Sana. Ntaku dm broo nipate info namna utakavyo anza project yako.
  8. Francofighter

    Charles Kitwanga: Sikutaka kujikomba, nililogwa nikapona kimiujiza, nilikuwa na vita na Serikali

    Africa bana ( everything has got a cause). Hivi angekaa kimya angeathirika kitu gani. Au katoa sumu [emoji16][emoji16]
  9. Francofighter

    Daktari wa Hospitali ya Amana asomewa mashtaka ya ubakaji, ulawiti

    Kuishi Dar kunahitaji akili Sana . Dr kweli amekosea kutembea na mtoto ila kwa maisha ya Dar hapo Kuna namna kukosa pesa kunahusika
  10. Francofighter

    Mliobadili ID....

    Sema kama wakwako ndio nmeukariri
  11. Francofighter

    Je, huyu mwanamke nimvumilie mpaka ndoa au nipige chini?

    Mvumilie tu mkuu kama unampenda Huenda akabadilika
  12. Francofighter

    Wataalamu wa Magonjwa ya Akili wadai Rais Donald Trump Ana Matatizo ya Akili.

    Watulie kabisa wanyolewe vizurii maana hamna namna
  13. Francofighter

    Wataalamu wa Magonjwa ya Akili wadai Rais Donald Trump Ana Matatizo ya Akili.

    Wanadhani kwamba hicho ndo kigezo cha yeye kutoka hapo alipo Wasahau kabisa trump is the president
  14. Francofighter

    Nawaonea huruma watu wasokunywa pombe wala kuvuta sigara na bangi...

    We utakuwa umekula bangi na mbegu zake
  15. Francofighter

    Ushauri: Sijui kutongoza

    Umerogwa wewe
Back
Top Bottom