Kwa kweli inasikitisha sana ndugu zangu kuona Rais wetu anachorwa na jirani zenu kivile, heri tungemchora siye. Wanyarwanda hawatupendi na hawatakaa watupende, kwani walichokuwa wakitafuta kwetu"ardhi" wamekikosa! Ndugu zangu hata kama kuna udhaifu kwa kiongozi wetu, tutamsema sisi na si...
:fish2: Wana JF naomba msaada wenu tafadhali, mdogo wangu amechaguliwa kwenda KISIWANI SEC -SAME A-Level, kama kuna anayefahamu shule ilipo kule Same naomba anielekeze.
Naomba pia kujua kama shule ina bweni au ni ya kutwa, kwani tovuti ya wizara haina "details" zozote kunisaidia.
Natanguliza...
Hapana kaka, kwa hapa umechanganya kidogo! Ni kweli Leonardo Da Vinci ndiye mchoraji wa kwaza wa picha ya YESU na wanafunzi wake (the Last Supper), hata hivyo si yeye "Leonardo Da Vinci" aliyesema eti YESU alimwoa Mariamu Magdalene. Aliye sema hayo ni "Dan Brown" mwandishi "shoga" wa kimarekani...
"Analysis" yako inatia moyo sana! Nimejisikia raha na uzalendo kuisoma. Ni wakati wa waandishi wetu kukubali kubadilika. Uhuru wa kuandika chochote na mara nyingine kuyakashifu majeshi yetu na kusifia majeshi ya marekani na uingereza, unatokana na amani ambayo kwa sehemu kubwa imeimarishwa na...
Kweli wajinga ndo waliwao! Sijawahi ona mbunge kama wa ukonga kwa miaka 5 hivi! Hata Makongoro alikuwa hivyo hivyo! Huwezi amini wenzao wanavyopiga kelekele juu ya majimbo yao ya Dar, huyu mama utadhani hayupo! Lakini hii ndo zawadi ya ujinga wetu wanaukonga!!!! Mvua zikinyesha barabara za...
Kwanza Mungu akubariki sana kwa roho yako ya utu. Huyo mtoto hata asingekuwa wa bro, bado ulichofanya ni thawabu kubwa san mbele za MUNGU. Huwezi jua atakuwa nani kesho, na huwezi jua nani atalea wanao yatakapo kufika. Lakini zaidi kwa kufanya hivyo unafungua milango ya baraka, kwani huyo mtoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.