Mbunge wa Ukonga upo likizo?

Mbunge wa Ukonga upo likizo?

Nimekuelewa kamanda,ombi moja kimbunga cha M4C Ukonga vipi hakiwapitii magamba,hebu nahuku kazi ianze mapema.

Wazo la msingi sana hili. Nafikiri Mwita Maranya ataweza kuunganisha nguvu na uongozi wa CDM Ukonga ili mikakati ianze.

Wakuu kimbunga cha M4C kinakuja hivi karibuni, tuko katika hatua za kupanga mikakati ya utekelezaji mara baada ya uzinduzi wa kanda ya Pwani. Nina uhakika kati ya mwezi huu wa tano hadi kufikia mwezi september Ukonga itakuwa imetembelewa na M4C kwa nguvu sana. Mipango iliyopo ni kuhakikisha kuwa mitaa yote ya jimbo la Ukonga inafikiwa katika kipindi hicho cha kuanzia mwezi wa tano hadi wa tisa.

Kwahiyo nawaomba mkae tayari wakati wowote zoezi hilo litakapotangazwa rasmi tutawajulisha wananchi wote wakazi wa Ukonga kwa ajili ya kushirikiana.
 
Last edited by a moderator:
Huyu Mama sidhani kama anajua anachopaswa kufanya kwa watu wake. Naamini alilazimishwa kwani hawatendei haki walichukua fedha zake za Rushwa.Hata kwenda kuwasalimia tu hana muda.. Basi tutaonana wabaya 2015 si mbali mama.
 
Cha msingi nipeni nafasi wakazi wenzangu wa ukonga niwawakilishe...,Huyu mama nimeongea naye sana mpaka nimekata tamaa ya kuendelea kumshauri.Tulimuita siku moja kuhusiana na barabara ya kuanzia Mombasa kwenda Kivule kupitia mazizini akatuita sisi ni wapinzani...Kichwani mwa huyu mama sidhani kama kumetimia....
 
Kweli wajinga ndo waliwao! Sijawahi ona mbunge kama wa ukonga kwa miaka 5 hivi! Hata Makongoro alikuwa hivyo hivyo! Huwezi amini wenzao wanavyopiga kelekele juu ya majimbo yao ya Dar, huyu mama utadhani hayupo! Lakini hii ndo zawadi ya ujinga wetu wanaukonga!!!! Mvua zikinyesha barabara za Majohe hazipitiki! Watoto hawaendi shule tena. Angalia wenzake akina Halima Mdee---pongezi zako halima, angalia John Mnyika, angalia Idd Azan, wapo bungeni kikazi, siyo ushenzi wa huyu Eugine! Hiyo ndo dawa ya wajinga, mnahongwa t-shirt za kijani mnampa mtu kura, tuendelee kusikilizia maumivu hadi 2015. Tuchome tu sindano za ganzi. UPUUUUUUUUUUUUUZIIIIIIIIII MTUPU....RIP Eugine for 2015, you'll get nothing, don't even think of contesting again, we'll give you a shiiiiiiiiiiiiiiiiit. 😛ainkiller:😛ainkiller:
 
Kweli wajinga ndo waliwao! Sijawahi ona mbunge kama wa ukonga kwa miaka 5 hivi! Hata Makongoro alikuwa hivyo hivyo! Huwezi amini wenzao wanavyopiga kelekele juu ya majimbo yao ya Dar, huyu mama utadhani hayupo! Lakini hii ndo zawadi ya ujinga wetu wanaukonga!!!! Mvua zikinyesha barabara za Majohe hazipitiki! Watoto hawaendi shule tena. Angalia wenzake akina Halima Mdee---pongezi zako halima, angalia John Mnyika, angalia Idd Azan, wapo bungeni kikazi, siyo ushenzi wa huyu Eugine! Hiyo ndo dawa ya wajinga, mnahongwa t-shirt za kijani mnampa mtu kura, tuendelee kusikilizia maumivu hadi 2015. Tuchome tu sindano za ganzi. UPUUUUUUUUUUUUUZIIIIIIIIII MTUPU....RIP Eugine for 2015, you'll get nothing, don't even think of contesting again, we'll give you a shiiiiiiiiiiiiiiiiit. 😛ainkiller:😛ainkiller:
Majohe alikususa, huwa hafanyi hata mikutano huko. Anadai wakazi wa majohe hawakumchagua kwa hiyo na yeye anawakomoa kwa kutokuwajali. Lakini kichekesho ni kwamba hao anaowajali kawafanyia nini? Maana sioni tofauti kati ya wanamajohe na huko kwingine.
 
Wakuu nikiwa mkazi wa kipunguni, ni mtumiaji wa barabara ya Mombasa - Moshi Bar. Miundombinu yake utadhani hakuna binadamu wanaoishi huko. Ni ya ovyo kabisa. Hata kama siyo kazi ya mbunge kujenga/kuboresha miundombinu angalau basi tungeona hata juhudi za uhamashishaji kwa sisi wananchi. Mbunge wetu haonekani kabisa. Hivi anakaa ukonga kweli????.Isije kuwa anaishi masaki na ukonga anapita tu wakati wa kampeni. Barabara ya umbali wa km 3 tu unaendesha gari kwa nusu saa!!!!!!!

Nalichukia hilo libarabara ila sina jinsi tu....
 
Hapo ukonga mtalia na kusaga meno na 2015 mchague tena ccm.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Tumpe Mwita Maranya, kama hatakuwa tayari; basi mimi nitagombea kwa tiketi ya CHADEMA.

Kungekuwa na hiyo provision kikatiba ama kisheria, basi ninauhakika kuwa hadi wakati huu mama mwaiposa asingekuwa mbunge wa Ukonga. Na kwakuwa wanatambua kuwa wananchi hawana nguvu ya kisheria ya kuwawajibisha ndio maana wakishapata ubunge wanapotea. Kuna tetesi kuwa mbunge wetu amekwisha hama toka Ukonga, anakula upepo mwanana pande za Mbezi beach.

Kumbe nyie tuko jimbo moja? Kwa Mwita Maranya sishangai, ndio makazi yao huko akina Gati, Mwita, Nyasiro, Bhoke n.k.
Jamani njia ya Kivule ndio imekufa kabisa, mwezi jana nilipita nikiwa naenda Msongola, ile barabara ni kimeo sana. Ukiwa na gari saloos usiguse kule, hakufai. Majuzi hapa nimepita ya Moshi bar kutokea pale Mombasa, nayo haifai kwa mashimo. Jamani tusaidiane kupiga chini Mwaiposa, katusahau mno. Nitamuunga mkono mgombea yoyote ila sio wa sisiem.
 
Last edited by a moderator:
wana jimbo wenzangu wa jimbo la ukonga, mbunge wetu yupo likizo? Wana nchi tunakero nyingi sana, hatukuoni jimboni wala mjengoni?
mwita waitara ameishajipanga kuja kulikomboa jimbo hili huyu ataondoka tu
 
Wana Jimbo wenzangu wa Jimbo la Ukonga, mbunge wetu Yupo likizo? Wana nchi tunakero nyingi sana, hatukuoni jimboni wala mjengoni?

Hivi inakuwaje unaanza kulalamika kuwa huoni maji ya kuoga wakati uko bafuni na umeshavua nguo tayari kwa kuoga!!!?? nani aliwaambia kuwa Mbunge ndo kila kitu, eti ajenge barabara, madaraja, vivuko, mitaro ya maji machafu n.k!! ulishawahi kujiuliza wewe kama mkaz wa ukonga umeifanyia nn ukonga achilia mbali tu ushiriki ktk uchaguzi kwa ajili ya kupata viongozi wanaofaa??? Jamani tuache majungu, serikali ni kuanzia wenyeviti wa mitaa na vijiji, then kuna kata, kuna tarafa, kuna wilaya, kuna mkoa na kuna taifa, na ktk kote huko kuna serikali kuu na serikali za mitaa mliowachagua wenyewe, sio wabunge tu!!! watz tumefika mahali badala ya kufikiria namna ya kubadilisha mfumo tunahangaika kubalidisha watu!!! kila mtu anataka kuwa mbunge ndani ya mfumo uleule, mfumo hautabadilika kwa kiingiza CDM madarakani wala CUF au NCCR hapana, tunaweza kuanza kwa mtu mmojammoja hata kama ni kumkemea tu mtu unayemouna anakojoa kojoa hovyo!!! Nilifikiri mngeanzisha blogs ya Ukonga ili kila mtu atoe kero shida, ushauri, ubunifu, na maoni kwa ajili ya ukonga lkn ninyi mnataka kubadilisha mtu, yaani Mama Eugen Mwaiposa, anayekaa pale matembele kabla ya kufika kitunda relini kwa Shehe Ally Mwaiposa,!!

Vijana tujipange hata kama ni kumbadilisha mtu ni sawa lkn basi tubadilishe watu ili hao watu wabadili mfumo!!! Mwisho msilalamike wakati niyni ndo mliopiga kura na kuchagua viongozi wenu na haina maana kuwa ukishachagua kiongozi ndo hatafanya kosa la hasha ndo maana tunatakiwa tuwashauri na kuwaelekeza viongozi wetu na sio kufikiria kung'oa watu wakati hata wajibu wako kama Mwalimu wa shule ya msingi haujautimiza!!! Hizi tabia za kuwa tegemezi zimetuadhiri sana ndo maana hata uhalifu mdogo tu nchini tunawaita FBI waje kuchunguza, kuna siku hata wezi wa kuku tutawaita FBI waje kuchunguza, HII NDO TZ NA HAWA NDO WATZ, LAZIMA TUBADILIKE, TUACHE MAJUNGU NA UJINGA???
 
Back
Top Bottom