Egwugu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 17,558
- 8,551
Huwa nikiwaangalia askari polisi wetu kisha nikawatizama JWTZ huwa najiuliza kama kweli haya majeshi yote yapo kwa ajiri ya watanzania kweli ama labda ni kama mbingu na ardhi,JWTZ mmesimamia nidhamu yenu na kweli Mara zote mnaombewa mema sana na wananchi wa kitanzania kwa kuwajari na kuwasaidia bila karaha na ubaguzi kama wenzenu wa Kova